Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,778
- 9,975
Nani alikwambia Ebola haikuua wazungu?Hii homa imepiga sana Mombasa. Nina ndugu anaeishi huko asema mtaa wake wote, zaidi ya watu 20 waliamka siku moja wakiwa hawawezi kushuka vitandani, wanatambaa kwenye vyooni! Baadhi ya symptoms zake, mtu hunyong'onyea sana na kwa siku tatu hivi hawezi kusimama wima. Haielekei kama unauwa, pengine watu wenye complications nyingine.
Mi nadhani hii ni dalili nyingine ya majaribio ya wazungu ya silaha za kibaiolojia dhidi ya watu weusi barani Afrika, sawa na ule mlipuko wa Ebola Afrika Magharibi. Alama kuu utaona baada ya muda utapotea na usirudi tena kwa maana wamekwisha assess kiwango cha athari zake.
Ukisema hivi watu wanaojidai wana akili sana wanakuambia ni "conspiracy theory". Ukiwauliza kwa nini Ebola ya Afrika Magharibi iliuwa Waafrika tu na hakuna hata Mzungu aliyedhurika....wanakukodolea macho!
Watu wenye kuchunguza maendeleo ya mambo ya dunia hiii wanafuatilia kwamba si aghalabu kusikia milipuko ya magonjwa haya ya ajabu ajabu Marekani au Ulaya Magharibi au hata Mashariki. Haya ni majaaliwa ya Afrika, baadhi ya nchi za Asia na Latin America basi!