Serikali mkoani Pwani nchini Tanzania yatoa tahadhari kwa wakaazi na wakulima waliopo katika bonde la mto Rufiji
Mh. Abubakar Kunenge mkuu wa mkoa wa Pwani amesema taarifa hiyo muhimu ni kuweka tahadhari kutokana na wingi wa maji katika bwawa la mradi wa umeme wa Mwalimu Julius Nyerere lililopo Rufiji mkoa wa Pwani.
Mh. Abubabar Kunenge ameongeza kuwa taarifa kutoka wizara ya Nishati na shirika la TANESCO zinasema imelazamu kufungulia maji yaliyokwisha jaa kufikia kikomo cha usalama wa bwawa ili, bwawa hilo liweze kuwa salama kwani linauwezo wa kuhimili kiasi kadhaa za ujazo wa maji na yakizidi ili lisipate madhara yoyote inabidi kufungulia maji ya ziada.
Mh. Abubakar Kunenge mkuu wa mkoa wa Pwani amesema taarifa hiyo muhimu ni kuweka tahadhari kutokana na wingi wa maji katika bwawa la mradi wa umeme wa Mwalimu Julius Nyerere lililopo Rufiji mkoa wa Pwani.
Mh. Abubabar Kunenge ameongeza kuwa taarifa kutoka wizara ya Nishati na shirika la TANESCO zinasema imelazamu kufungulia maji yaliyokwisha jaa kufikia kikomo cha usalama wa bwawa ili, bwawa hilo liweze kuwa salama kwani linauwezo wa kuhimili kiasi kadhaa za ujazo wa maji na yakizidi ili lisipate madhara yoyote inabidi kufungulia maji ya ziada.