Mpigania Uhuru
Member
- Dec 5, 2011
- 78
- 93
Serikali imeshindwa Kwa miezi miwili kuwalipa intern doctors MNH Hali iliyosababisha wao kuamua kugoma rasmi kuanzia Leo hadi watakapopewa hela yao.
Hii imetokana na wengine kushindwa kupata nauli ya kufika kazini au hela ya kujinunulia chakula. Inasemekana Hali hii ya kutopewa hela zao ni Kwa intern drs wote Tz.
Source: eye witness.
Hii imetokana na wengine kushindwa kupata nauli ya kufika kazini au hela ya kujinunulia chakula. Inasemekana Hali hii ya kutopewa hela zao ni Kwa intern drs wote Tz.
Source: eye witness.