hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Waziri wa kilimo wa Tanzania Charles Tizeba amelitangazia bunge mjini Dodoma kuwa serikali imeondoa zuio LA kuuza mazao nje nchi na hivyo mipaka ya Tanzania sasa iko wazi kwa wafanyabiashara na wadau wote wa kilimo kusafirisha mazao nje ya nchi kutafuta masoko na hivyo kuiletea nchi fedha za kigeni. Kilio cha wananchi kimesikika rasmi.