AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiwa na viongozi wa Tanesco leo hii amesema serikali imekubali kuilipa Dowans holding SA (Costa Rica) kiasi cha dola 65, 812,630. Kinachusubiriwa sasa ni kwa mdai kuwasilisha madai yake mahakama kuu ya Tanzania. Pia wamiliki wametajwa hakuna mtanzania yupo Mkenya 1, India 1, Oman 1, Canada 2, Singapore 1. But I believe wote watakuwa wanaasili ya kiasia.