Serikali yakubali kuilipa Dowans

AK-47

JF-Expert Member
Nov 12, 2009
1,373
199
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiwa na viongozi wa Tanesco leo hii amesema serikali imekubali kuilipa Dowans holding SA (Costa Rica) kiasi cha dola 65, 812,630. Kinachusubiriwa sasa ni kwa mdai kuwasilisha madai yake mahakama kuu ya Tanzania. Pia wamiliki wametajwa hakuna mtanzania yupo Mkenya 1, India 1, Oman 1, Canada 2, Singapore 1. But I believe wote watakuwa wanaasili ya kiasia.
 
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiwa na viongozi wa Tanesco leo hii amesema serikali imekubali kuilipa Dowans holding SA (Costa Rica) kiasi cha dola 65, 812,630. Kinachusubiriwa sasa ni kwa mdai kuwasilisha madai yake mahakama kuu ya Tanzania. Pia wamiliki wametajwa hakuna mtanzania yupo Mkenya 1, India 1, Oman 1, Canada 2, Singapore 1. But I believe wote watakuwa wanaasili ya kiasia.

Na Rostam katoka huko juzi tu...Ngeleja bado yumo katika payroll ya huyu jamaa
 
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiwa na viongozi wa Tanesco leo hii amesema serikali imekubali kuilipa Dowans holding SA (Costa Rica) kiasi cha dola 65, 812,630. Kinachusubiriwa sasa ni kwa mdai kuwasilisha madai yake mahakama kuu ya Tanzania. Pia wamiliki wametajwa hakuna mtanzania yupo Mkenya 1, India 1, Oman 1, Canada 2, Singapore 1. But I believe wote watakuwa wanaasili ya kiasia.

Ohh my country Tanzania,why ar u still toralating these most selfish and corrupted people in the world......We just c them come with nothing but left with Everyting from us...Gosh!!!!!! sorry mkuu ni Hasira tu juu hizi selfish pipo kwani kila nchi walipo then the whole country is corrupted and rotted kwa Rushwa na wizi....cheki huko canada kulivyo kaka...Poor us!
 
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiwa na viongozi wa Tanesco leo hii amesema serikali imekubali kuilipa Dowans holding SA (Costa Rica) kiasi cha dola 65, 812,630. Kinachusubiriwa sasa ni kwa mdai kuwasilisha madai yake mahakama kuu ya Tanzania. Pia wamiliki wametajwa hakuna mtanzania yupo Mkenya 1, India 1, Oman 1, Canada 2, Singapore 1. But I believe wote watakuwa wanaasili ya kiasia.

Rostam Alisema Janakuwa alikuwa Singapore recenlty!!! haya sasa akili ku mkichwa!!
 
Crooks are cooking..................................ndio wamesajili brela?

Duh JK yuko fast kulipa watu hata hapendi madeni. teh teh
 
Rostam Alisema Janakuwa alikuwa Singapore recenlty!!! haya sasa akili ku mkichwa!!

"Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke."Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga," alisema Rostam.
 
Now I believe ,this guy RA is on top of every body in this country and may he might be f...u...c...k...i...n...g our president....O.M.G.!!!!
Rostam Alisema Janakuwa alikuwa Singapore recenlty!!! haya sasa akili ku mkichwa!!
 
Wewe Ngeleja hebu tuondolee upuuzi wako hapa. Sisi tunajua kuwa Rostam, aliyekuajiri Vodacom na aliyekupachika uwaziri wa nishati kuwa ndiye mmliki wa Dowans, na ndiye aliyekutuma utudanganye Watanzania. Ole wako!
 
Back
Top Bottom