BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,317
Huoni kwanini elimu haichukuliwi kwa uzito mkubwa ni sababu watu wakielimika huwezi msumbua unless aamue tu yeye kujitoa ufahamu, ndio mana illiteracy rate ndio kundi kubwa la wanaokua manipulated haswa na hizi fafanuziAiseee siasa bana ni ushenzi ushenzi fulani.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako,IPTL walipo enda kukopa Malaysia mdhamini wao aLlikuwa serikali ya Tanzania , Benk ya standard charter asingetoa pesa Kama hakuna mdhamini, IPTL iko chali kwa Hiyo mdhamini lazima aingizwe kwenye deni .Mwansheria mkuu usitufanye wote wajingaSerkali hawahusiki hapo ufafanuzi mzuri sana
Yalipe yale mafisadi yaliyojificha nyuma ya IPTL
Yu wapi Praise singer "extraordinary and plenipotentiary" Paskali Mayallah aunge mkono hoja hii mujarabu kwamba serikali haidaiwi hata kidogo na hukumu hii ya ICSID ni ya kutungwa na mabeberu wakiongozwa na Tundu Lissu???!!!Akizungumzia hukumu hiyo iliyotolewa Oktoba 9, mwaka huu, Dk. Abbasi amesema ameulizwa kuhusu hukumu hiyo, na hivyo amelazimika kutoa ufafanuzi.
“Msingi wa kesi zote mdaiwa siyo serikali wala Tanesco, ni deni la benki dhidi ya IPTL (kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited) walilorithi miaka mingi kutoka kwa wakopeshaji wa Malaysia.
Kwa muktadha huo na kisheria, serikali na Tanesco ziliunganishwa tu kama kanuni za kisheria zinavyomruhusu mdai kuwaunganisha wahusika wengine kwenye kesi ili kupata uhakika kuwa analipwa madai yake," amesema Dk. Abbasi.
“Kwa muktadha huo, natumia fursa hii kuwatoa wasiwasi Watanzania, serikali haidawi, haijawahi kukopa Standard Chartered ya Hong Kong, ila kama Baraza la Usuluhishi lilivyoamua, tutahakikisha tunasimamia utawala wa sheria kwa kuona IPTL wanalipa deni lao,” amesema Dk. Abbasi.
Katika kesi hiyo ya ICSID yenye namba ARB/15/41, benki hiyo ilifungua kesi dhidi ya serikali ikidai kiasi hicho cha fedha kwa kile ilichodai ni kutokana na kukiukwa kwa mkataba wa manunuzi ya umeme uliokuwa umetiwa saini baina yao na pande tatu za mkataba huo.
Benki hiyo ilikuwa ikiwakilishwa na Matthew Weiniger wa QC Linklaters LLP One, Iain Maxwell, Aaron McDonald, Elizabeth Kantor, Harry Ormsby, Gavin Creelman na Herbert Smith wa Freehills LLP, wote kutoka Uingereza.
Hukumu hiyo inaonyesha Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Adelardus Kilangi, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Clement Mashamba, Beredy Malegesi wa Crax Law Partners, Richard Karumuna Rweyongeza wa R. K. Rweyongeza & Co. Advocates, Galileo Pozzoli, Mark Handley, Profesa Tullio Treves, Luciana Ricart, Irene Petrelli, Renato Treves na Valerio Salvatori Curtis wa Mallet-Prevost, Colt & Mosle LLP.
Chanzo: Nipashe
Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo katika mahojiano maalum na TBC amesisitiza kauli ya jana ya Serikali kupitia kwa
Msemaji Mkuu wa Serikali kuwa Serikali haidaiwi na katika uhusiano wa kibiashara kati ya IPTL na Benki ya SCB Hong Kong.
Serikali kama msimamizi wa utekelezaji itaibana kampuni ya IPTL ambayo bado ipo hapa nchini ikiwa na mitambo na raslimali nyingine, ikamilishe deni wanalodaiwa.
Hukumu kwa Kwa kifupi imesema;-
V. The Government of United Republic of Tanzania shall;-
Pay to climant the sum of USD 185,449,440.04 together with interest thereonat the rate of LIBOR (6-Months) +2% from the 1 September 2018until the date of full and final payment and
VI. Bear its own legal costs and expenses
Pia soma
IPTL saga: Tanzania kuilipa Standard Chartered Dola za Kimarekani Milioni 185
Watupe namba ya akauti tuwatumie....tuko vizuri.www.jamiiforums.com
Weledi ni kama huwo naokwambia ya kwako ni porojo .
Abbas kasahau doctrine isemayo kwamba "Unaweza kuwahadaa baadhi ta watu kwa muda lakini huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote"!!; sooner rather than later the devil aka (pepo la udanganyifu) will catch up with you, big time!Akili za kuambiwa changanya na za kwako,IPTL walipo enda kukopa Malaysia mdhamini wao aLlikuwa serikali ya Tanzania , Benk ya standard charter asingetoa pesa Kama hakuna mdhamini, IPTL iko chali kwa Hiyo mdhamini lazima aingizwe kwenye deni .Mwansheria mkuu usitufanye wote wajinga
Acheni uzwazwa. Nini maana ya kudhamini?Akizungumzia hukumu hiyo iliyotolewa Oktoba 9, mwaka huu, Dk. Abbasi amesema ameulizwa kuhusu hukumu hiyo, na hivyo amelazimika kutoa ufafanuzi.
“Msingi wa kesi zote mdaiwa siyo serikali wala Tanesco, ni deni la benki dhidi ya IPTL (kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited) walilorithi miaka mingi kutoka kwa wakopeshaji wa Malaysia.
Kwa muktadha huo na kisheria, serikali na Tanesco ziliunganishwa tu kama kanuni za kisheria zinavyomruhusu mdai kuwaunganisha wahusika wengine kwenye kesi ili kupata uhakika kuwa analipwa madai yake," amesema Dk. Abbasi.
“Kwa muktadha huo, natumia fursa hii kuwatoa wasiwasi Watanzania, serikali haidawi, haijawahi kukopa Standard Chartered ya Hong Kong, ila kama Baraza la Usuluhishi lilivyoamua, tutahakikisha tunasimamia utawala wa sheria kwa kuona IPTL wanalipa deni lao,” amesema Dk. Abbasi.
Katika kesi hiyo ya ICSID yenye namba ARB/15/41, benki hiyo ilifungua kesi dhidi ya serikali ikidai kiasi hicho cha fedha kwa kile ilichodai ni kutokana na kukiukwa kwa mkataba wa manunuzi ya umeme uliokuwa umetiwa saini baina yao na pande tatu za mkataba huo.
Benki hiyo ilikuwa ikiwakilishwa na Matthew Weiniger wa QC Linklaters LLP One, Iain Maxwell, Aaron McDonald, Elizabeth Kantor, Harry Ormsby, Gavin Creelman na Herbert Smith wa Freehills LLP, wote kutoka Uingereza.
Hukumu hiyo inaonyesha Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Adelardus Kilangi, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Clement Mashamba, Beredy Malegesi wa Crax Law Partners, Richard Karumuna Rweyongeza wa R. K. Rweyongeza & Co. Advocates, Galileo Pozzoli, Mark Handley, Profesa Tullio Treves, Luciana Ricart, Irene Petrelli, Renato Treves na Valerio Salvatori Curtis wa Mallet-Prevost, Colt & Mosle LLP.
Chanzo: Nipashe
Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo katika mahojiano maalum na TBC amesisitiza kauli ya jana ya Serikali kupitia kwa
Msemaji Mkuu wa Serikali kuwa Serikali haidaiwi na katika uhusiano wa kibiashara kati ya IPTL na Benki ya SCB Hong Kong.
Serikali kama msimamizi wa utekelezaji itaibana kampuni ya IPTL ambayo bado ipo hapa nchini ikiwa na mitambo na raslimali nyingine, ikamilishe deni wanalodaiwa.
Hukumu kwa Kwa kifupi imesema;-
V. The Government of United Republic of Tanzania shall;-
Pay to climant the sum of USD 185,449,440.04 together with interest thereonat the rate of LIBOR (6-Months) +2% from the 1 September 2018until the date of full and final payment and
VI. Bear its own legal costs and expenses
Pia soma
IPTL saga: Tanzania kuilipa Standard Chartered Dola za Kimarekani Milioni 185
Watupe namba ya akauti tuwatumie....tuko vizuri.www.jamiiforums.com
Nina uhakika hujasoma hata hiyo hukumu ndo mana unatoa cheap answers. Kibaya zaidi eti watu kama nyie msiotaka kuumiza vichwa ndo mmekabidhiwa nchi.Serkali hawahusiki hapo ufafanuzi mzuri sana
Yalipe yale mafisadi yaliyojificha nyuma ya IPTL
Wewe ndo huelewi tunza kumbukumbu zako siku moja uje uniombe msamaha kwa kutumia lugha ya kishenzi.
Kumbe,tenaHujaelewa maana ya kugaranti mkopo? Fika Saccos iliyopo karibu na wewe
Umeisoma hukumu? Kama hujasoma nikusamehe, kama umesoma na kuandika haya unakoelekea siko wahi mapema matibabu ya...Escrow ni aina tu ya akaunti ya benki. Hata mimi ningeulizwa unadaiwa na Escrow ningekataa kama naisemea Serikali.
Deni ni la IPTL kusema ni la Escrow haileti maana yoyote.
Waandishi wengi wa Tanzania ni makanjanja sana na hawana ueledi.
Mazao ya shule za kusomea ujinga yametamalaki kila pembe.
V. ◇The Government of United Republic of Tanzania◇shall;-Serkali hawahusiki hapo ufafanuzi mzuri sana
Yalipe yale mafisadi yaliyojificha nyuma ya IPTL
IHiyo ya ndege na vijikesi vidogp vidogo ilikuwa rasha rasha cinema kamili ingekuja anageendelea na ujinga wake. Tuliyaona wakati wa Nyerere, mpaka sabuni ya kuongea tulikosa.Kule Afrika Kusini ndege haiendi tena.
London ndege haiendi tena.
Bado wale jamaa wa Bagamoyo
Bado Symbion mmmmmh
Kweli Mabeberu si mchezo
pole bi faiza si ndo mnapenda hayamambo... mnasema kazi iendelee etiee 😂 😂IHiyo ya ndege na vijikesi vidogp vidogo ilikuwa rasha rasha cinema kamili ingekuja anageendelea na ujinga wake. Tuliyaona wakati wa Nyerere, mpaka sabuni ya kuongea tulikosa.
Tuwaone na Wazimbabwe walifanywa nini wakati wa Mugabe?
Hii mijitu mingine ni baraka ya kujua kufunga tai tu shingoni lakini vichwani ni zero kabisa. Tulifanya makosa makubwa sana CCM kuchagua mtu ambae hana asili ya uongozi.