Serikali yagoma kuwalipa mishahara waajiriwa wapya wa mahakama ya Tanzania

Waambie wachape kazi, mwezi Jana rais akiwa Tanga, alisema asiyetaka kufanya kazi kuwa wanataka hela aache kazi akalime.
 
Jibu lako limejikita katika siasa zaidi, sio kitaaluma.
Hapana, kitaaluma nimekuuliza hao wakubwa wa idara za mahakama na wizara ya sheria wanateuliwa na nani?

Hujanijibu, unakwepa kujibu kwa kisingizio kwamba jibu langu ni la kisiasa.

Kusingizia kwamba jibu langu ni la kisiasa zaidi ndiyo siasa yenyewe.

Rais Magufuli ni Mkuu wa Nchi. Kuna sababu yeye ni Mkuu wa Nchi.

Nyerere alisema kuwa rais wa nchi masikini ni mzigo mzito, unapita mabarabarani unaona watu masikini hawana nguo, wana njaa etc, unaona mzigo wako huo.

Huyu rais alijua wajibu wake kama Mkuu wa Nchi. Yeye ndiye mtu mmoja mwenye wajibu mkubwa kuliko yeyote kuhusiana na kinachotokea Tanzania. Sio serikalini, nchini.

Sasa leo wewe utawezaje kusema Magufuli hahusiki wafanyakazi wa serikali wakikosa mishahara?

Kama kuna watu wanaharibu kazi idara ya Mahakama mnyororo wa uwajibikaji unaishia wapi?

Magufuli anayejifanya anajua sana kutumbua majipu kamfukuza nani kazi kwa uzembe huu? Amefnya nini kuondoa tatizo hili?
 
Mjengoni hali si nzuri ngosha anataka kutoroka mjengo mana ni aibu.
 
Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.


inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
acha ujinga wewe walimu,na wizara ya afya mbona awajalipwa miezi 3 ww chapa kazi
 
Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.


inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
nyie mumerudishwa july mnalalamika wenzenu afya wamerudishwa june wanachapa kazi bila salary
 
Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.


inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure,kuna jama yangu analalamik kila siku!Kapangiwa mahakama ya mwanzo,hali imekuwa ngumu mpaka kakimbia kituo cha kazi karudi nyumbani mpaka mshahara utakapotoka!
 
Sio dharau huo ni ushauri positive. Unafikiri kupayuka hapa ndio hela itakuja?

Sisi wengine mbona tulikaa miezi 4 bila pesa ila badae tukapewa? Watulie wachape kazi ili umuhimu wao uonekane....pia mbona hawatwamnii kama wameishafikisha malalamiko yao kwa wakubwa wao wa Mahakama?
Utalipaje ada utaendeshaje maisha bila kuingiza kipato? Serikali inanunua mandege cash unashikia kikao kimoja watu wanapeana laki 4 kwa siku 45 bado unaongea ujinga hapa. Jaribu kidogo kuwaza kama binadamu usiwe kenge kiivyo
 
Sure,kuna jama yangu analalamik kila siku!Kapangiwa mahakama ya mwanzo,hali imekuwa ngumu mpaka kakimbia kituo cha kazi karudi nyumbani mpaka mshahara utakapotoka!
iyo ni hali ya kawaida yupo jamaa ni mwalimu wizara ya afya wamerudishwa june hadi leo no salary analialia tu
 
Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.


inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
ww utumishi utakushindwa nyie mmerudishwa july mupo zaidi ya 200 hadi mupewe check no
 
warudi nyumbani utumishi kuna uzembe
Kwa nini wao wabebe uzembe wa watu wengine? SHIDA MNATETEA HATA VISIVYOTAKIWA KUTETEWA... Kama mtu kakosea, abebe yeye msalaba wa makosa yake...

BTW, WHAT NEXT WAKISHARUDI KWAO? HAKI YAO INAKUWAJE?
 
Kwa niwao wabebe uzembe wa watu wengine? SHIDA MNATETEA HATA VISIVYOTAKIWA KUTETEWA... Kama mtu kakosea, abebe yeye msalaba wa makosa yake...

BTW, WHAT NEXT WAKISHARU KWAO? HAKI YAO INAKUWAJE?
ni kweli inauma maana hawa vijana walisimamishwa mwaka 1 sasa bado wanaumizwa wangepewa kipaumbele afya na mahakama waliosimamishwa mwaka 1
 
ni kweli inauma maana hawa vijana walisimamishwa mwaka 1 sasa bado wanaumizwa wangepewa kipaumbele afya na mahakama waliosimamishwa mwaka 1
Halafu KABISAA mnataka asiombe RUSHWA kwenye mazingira hayo ya mwaka mmoja bila mshahara, na serikali imegoma kuwapa mshahara...!!!!

Hivi ingekuwa ACACIA au kampuni nyingine yoyote ndo imemsimamisha kazi mtu mmoja kwa namna hiyo, HAO SERIKALI WANGEFANYA NINI?
 
Sio dharau huo ni ushauri positive. Unafikiri kupayuka hapa ndio hela itakuja?

Sisi wengine mbona tulikaa miezi 4 bila pesa ila badae tukapewa? Watulie wachape kazi ili umuhimu wao uonekane....pia mbona hawatwamnii kama wameishafikisha malalamiko yao kwa wakubwa wao wa Mahakama?


Nini kinachopelekea wasilipwe kwa wakati ? Au kuna sababu gani ya msingi ya kutowalipa pesa ?

Nchi siku hizi, utapeli mwingi na inayo tapeli ni serikali na inatapeli watu wake
 
Sio dharau huo ni ushauri positive. Unafikiri kupayuka hapa ndio hela itakuja?

Sisi wengine mbona tulikaa miezi 4 bila pesa ila badae tukapewa? Watulie wachape kazi ili umuhimu wao uonekane....pia mbona hawatwamnii kama wameishafikisha malalamiko yao kwa wakubwa wao wa Mahakama?
Miezi mi4 uliokuwa unalelewa na basha haijustify marijali kutopewa mshahara. Mshahara ni stahiki ya mtumishi, nao haupaswi kuchelewa.

Kujiweka reference kwa kuwa wewe ulikuwa unasitiriwa ni kuwakosea adabu wenzio wanaoheshimu jinsia zao
 
Ndugu, katika ajira za serikali ikiwa ni ajira ya kwanza ni kawaida kukaa miezi mitatu hadi minne bila kulipwa mshahara. Kuingiza watumishi kwenye pay roll ni hadi mchakato maalumu ufanyike. hata hivyo kuna haki ya kupewa posho au pesa ya kujikimu katika kipindi hicho cha mpito.

Hizi ajira za mahakama zilizositishwa na kurudishwa zimekaa kimaslahi flani. Ajira hizi zilitoka wakati ambao kuna baadhi ya mamlaka hazikuwa tayari au kuridhia kuajiri ajira mpya. Kwa maneno mengine Ajira hizi zilizua mtafaruku kati ya tume ya utumishi wa mahakama na idara zingine.

Kwa ushauri tafuteni haki yenu ya kupewa pesa ya kujikimu, mshahara utaingia tu baada ya kumaliza miezi yenu mitatu. Ukibidi tafuteni wawakilishi na mkaonene ma mtendaji mkuu wa mahakama.
Labda computer tunazozitumia Tanzania zilitengenezwa maalum kwa matumizi ya Tanzania tu kama jina kuingizwa kwenye payroll kunachukua miezi. Kwenye dunia ya leo kuingiza jina kwenye computer kunatakiwa kuchukua sekunde mbili hadi tani. Nilidhani Magufuli katurudisha karne ya kumi na tisa kisiasa tu kumbe hata katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi.
 
Back
Top Bottom