Serikali yagoma kuwalipa mishahara waajiriwa wapya wa mahakama ya Tanzania

Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.

Inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheque namba Utumishi wa Umma
 
Mkojo wako utakua wa njano sana maana unafikiri unajificha kumbe hovyo tu
Mkojo wangu ukitaka kuujua wa njano ama vipi nipe mama yako halafu mwambie afungue mdomo aninyonye dushe halafu nimkojolee mdomoni na kumpagolden shower.

Halafu muulize mkojowangu wa rangi gani.
 
Hapana, kitaaluma nimekuuliza hao wakubwa wa idara za mahakama na wizara ya sheria wanateuliwa na nani?

Hujanijibu, unakwepa kujibu kwa kisingizio kwamba jibu langu ni la kisiasa.

Kusingizia kwamba jibu langu ni la kisiasa zaidi ndiyo siasa yenyewe.

Rais Magufuli ni Mkuu wa Nchi. Kuna sababu yeye ni Mkuu wa Nchi.

Nyerere alisema kuwa rais wa nchi masikini ni mzigo mzito, unapita mabarabarani unaona watu masikini hawana nguo, wana njaa etc, unaona mzigo wako huo.

Huyu rais alijua wajibu wake kama Mkuu wa Nchi. Yeye ndiye mtu mmoja mwenye wajibu mkubwa kuliko yeyote kuhusiana na kinachotokea Tanzania. Sio serikalini, nchini.

Sasa leo wewe utawezaje kusema Magufuli hahusiki wafanyakazi wa serikali wakikosa mishahara?

Kama kuna watu wanaharibu kazi idara ya Mahakama mnyororo wa uwajibikaji unaishia wapi?

Magufuli anayejifanya anajua sana kutumbua majipu kamfukuza nani kazi kwa uzembe huu? Amefnya nini kuondoa tatizo hili?
Tatizo mkuu wa kaya na kambi yake wanadhani wako perfect kwa kila kitu. kitu ambacho si kweli . Wanapaswa kushughulikia kero za wananchi ipasavyo kama hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mkuu wa kaya na kambi yake wanadhani wako perfect kwa kila kitu. kitu ambacho si kweli . Wanapaswa kushughulikia kero za wananchi ipasavyo kama hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
bertrand-russell-philosopher-the-trouble-with-the-world-is-that-the.jpg
 
He he he ,watumish waliopo kazini mda mrefu bado wanapokea mshahara wa JK while watumishi wapya hawajaanza kupokea MSHAHARA

May Allah bless Me and You
 
Wasiwe Na Wasiwasi Kama Wapo Kazini Wavumilie Watalipwa Zote Sio Sawa Na Kuamka Asubuh Hujui Cha Kufanya.
 
Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.

Inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu tutegemee ufanisi katika mahakama zetu bila salary.
 
Serekali na watumishi wa umma sijui kuna nini,utafikri waligongana kwenye mchepuko,walioajiriwa zamani nao wanalia nyongeza ya mshahara hakuna tangu awamu hii imeingia madarakani.

Wakiuliza wanajibiwa kuwa kama wanaona mshahara hautoshi waache kazi waende kulima.
 
Sio dharau huo ni ushauri positive. Unafikiri kupayuka hapa ndio hela itakuja?

Sisi wengine mbona tulikaa miezi 4 bila pesa ila badae tukapewa? Watulie wachape kazi ili umuhimu wao uonekane....pia mbona hawatwambii kama wameishafikisha malalamiko yao kwa wakubwa wao wa Mahakama?
Nyie Watetezi wa watesi hawa mu wapumbavu sijapata ona!!!!!!!!
 
Hizo nafasi walio pata kuna uchakachuaji wa hali ya juu uliohanyika kwenye kuajiri.. ndio mana magufuli alipo ingia tu madarakani wote uliondolewa kazini ili upepo utulie.. ndio mana mmeitwa tena kazini, lakini kwavile mlilatikana kwa njia batili, ndio mana hakuna wa kuwatetea kwenye hilo..
Msipo angalia mtaambiwa muende tena nyumbani mkapunzike mpaka mtakapo itwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom