mzee wa giningi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 519
- 336
Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.
Inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app