Serikali yafungia Mchongo pesa na Chota mihela

Serikali yafungia Mchongo pesa na Chota mihela

Wamefanya la maana. ilikuwa ni kero tu,. VIpindi vyote hakuna la maana unalosikia zaidi ya kuhamasisha wizi wa buku buku za watu.
Na walivyo wajinga kwa pesa zote wanazovuna wanashindwa hata kutafuta waigizaji wa maana. Maana unampigia mtu simu kumwambia kashinda Mil 5 lakini hakuna hata excitement kwenye sauti, ni kama vile alitarajia.
 
Wamefanya la maana. ilikuwa ni kero tu,. VIpindi vyote hakuna la maana unalosikia zaidi ya kuhamasisha wizi wa buku buku za watu.
Na walivyo wajinga kwa pesa zote wanazovuna wanashindwa hata kutafuta waigizaji wa maana. Maana unampigia mtu simu kumwambia kashinda Mil 5 lakini hakuna hata excitement kwenye sauti, ni kama vile alitarajia.
Wamefanya Makosa Makubwa sana kama serekali!! Hivi ni nani anashauri yote haya!? Au walimsikiliza yule Mchumgaji/ Padre!? Yeye anapata sadaka nazo tuzuie!? Tozo walikuwa wanatuibia bila matakwa yetu!! Double taxation!! Kwa hili ni utashi WA mtu mwenyewe, walitakiwa waongezwe Kodi iwe mbadala WA tozo!!! Ni njia nyingi serekali inaweza kupata Kodi na Sio tozo ( Double taxation)
 
Kongole Kwa serikali yetu Kwa kufungia michezo hii ya kamari redio Kwa maana ilikua Na adhari kubwa Kwa vijana yani unakuta mtu hujala Na huna kitu unasikia mtu kashinda million 5 hii inaharibu psychological Kwa sisi wanyonge,yani mtu unadaiwa kodi afu mfukoni hata mia huna ghafla unaskia mtu kashinda gari kwa kweli hii inaweza kusababisha pressure Na kisukari Kwa sisi wasaka tonge hongera mama Kwa kuupiga mwingi
Kama ni kweli wamepiga marufuku itakua uamuzi wenye thamani kubwa sana huwezi hata kutaja. Nasema thamani kwani ukiweza kuthaminisha hasara kiuchumi kwa kuwadhuru watu kisaikolojia kwa kufikiri wanaweza ishi kwa kamari ndio utajua hata huwezi kupiga hesabu hiyo.
 
Kongole Kwa serikali yetu Kwa kufungia michezo hii ya kamari redio Kwa maana ilikua Na adhari kubwa Kwa vijana yani unakuta mtu hujala Na huna kitu unasikia mtu kashinda million 5 hii inaharibu psychological Kwa sisi wanyonge,yani mtu unadaiwa kodi afu mfukoni hata mia huna ghafla unaskia mtu kashinda gari kwa kweli hii inaweza kusababisha pressure Na kisukari Kwa sisi wasaka tonge hongera mama Kwa kuupiga mwingi
Hahahaha
Kumbe ni kero ya wakati wa lunch tu
 
Kufuta kamari kutaumiza zaidi media serikali ifikirie hili

Biashara ya media ni ngumu sana kwa sasa,media nyingi zinapumulia mashine
 
Mimi nadhani % kubwa ya washindi walikua ndugu au jamaa wa wachezeshaji,serikali isiishie hapo
Takukuru wafanye kazi yao
We nilishangaa walikua hawaonyeshi jinsi gani wanavyoipata namba ya mshindi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Michezo yote ya kunatisha hapa Bongo ni utapeli kiasi hata imefikia haina maana tena!
... Ifungiwe yote na ianze bahati nasibu ya taifa ambayo ikifanywa kwa uangalizi mzuri italipatia taifa fedha na kunufaisha wachezaji we ya bahati!
... HAWA kina TUSUA MKWANJA wanatusua hela yetu KWA wizi wa hadharani mchana kweupe!
 
 
Back
Top Bottom