Mukuu123
JF-Expert Member
- May 7, 2019
- 319
- 1,227
Kongole Kwa serikali yetu Kwa kufungia michezo hii ya kamari redio Kwa maana ilikua Na adhari kubwa Kwa vijana yani unakuta mtu hujala Na huna kitu unasikia mtu kashinda million 5 hii inaharibu psychological Kwa sisi wanyonge.
Yaani mtu unadaiwa kodi afu mfukoni hata mia huna ghafla unaskia mtu kashinda gari kwa kweli hii inaweza kusababisha pressure Na kisukari Kwa sisi wasaka tonge hongera mama Kwa kuupiga mwingi
Yaani mtu unadaiwa kodi afu mfukoni hata mia huna ghafla unaskia mtu kashinda gari kwa kweli hii inaweza kusababisha pressure Na kisukari Kwa sisi wasaka tonge hongera mama Kwa kuupiga mwingi