🤣 🤣 🤣 Kuna wasakatonge wengine wa kijani aliwanyima mrija mkuu akawa anakula mwenyewe hadi akili zikawakaa sawa 🤣🤣Aliibana Construction sector ipi?Yeye si ndio alikua anajipa tenda na MAYANGA Co. yake?
🤣 🤣 🤣 Kuna wasakatonge wengine wa kijani aliwanyima mrija mkuu akawa anakula mwenyewe hadi akili zikawakaa sawa 🤣🤣Aliibana Construction sector ipi?Yeye si ndio alikua anajipa tenda na MAYANGA Co. yake?
Kuna wasakatonge wengine wa kijani aliwanyima mrija mkuu akawa anakula mwenyewe hadi akili zikawakaa sawa
Tunaposema mabeberu Denmark wanawekwa wapi?Hiyo Warning inamaanisha inaipa muda Serikali izungumze nao kuhusu uamuzi wao huo.
Ili iahirishe uamuzi wake huo.
Hiyo ni alarm ya Kidiplomasia tu inayohitaji kueleweka.
Serikali isiendeshwe kimitulinga ikae na Serikali yao ili ipate dukuduku lao lililo pelekea kufanya huo uamuzi.
Leo anakuita beberu kesho anakuita mdauMimi pia naona kama zimekinzana...
You never know with politicians
Leo anakwambia tupige nyungu, kesho anakuambia tupige chanjo
Tatizo kila mwanafamilia anatoa amri mamlaka ya baba imetekwa nyara!Mulamula anasema serikali ya awamu6 inafufua mahusiano yaliokufa awamu ya 5.
Samia anasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
MaCCM yanasema KICHAA alikua SHUJAA.
Wafadhili /Mabeberu lazima wawashangae, na wanaona ni Serikali iliojaa uhuni na ubabaishaji mwingi.
Mungu awabariki sana Wazungu.!
Kwa mtu mwenye akili timamu atakwambia nchini hakuna uongozi.Ni nchi pekee nayoiyona rais haheshimiki kabisa hasa hasa na wasaidiz wake.Tatizo kila mwanafamilia anatoa amri mamlaka ya baba imetekwa nyara!
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Tukiweka pengine siasa pembeni,hv awamu hii ya 6 unaielewa kweli mkuu? kuna Rais? 🤣 🤣 -Hili swali sijawah kujiuliza wallahSi mulisema bwana yule hana uhusiano na mataifa ya mabeberu hii sasa ni ushahidi kuwa sasa ndiyo hatuna uhusiano mzuri na mataifa ya mabeberu.
Yaani hata msemaji kajipakulia shea ya mamlaka. Kamanda ndo mwisho wa mambo. Si ajabu kamanda wa nyota mbili kumdindia mwenye mikasi licha ya mwenye nyota tatu. Wanaingia jikoni tu na kupakulia vinono. Kuleni wa nangu sikukuu yenu hii, wao mapaja sisi makucha...Kwa mtu mwenye akili timamu atakwambia nchini hakuna uongozi.Ni nchi pekee nayoiyona rais haheshimiki kabisa hasa hasa na wasaidiz wake.
Binafsi-sijawah kufika point na kujiuliza kuhusu uwezo wa Rais-ila for the first time nimejiuliza hili swali,kiufupi taifa limepwaya mnoooYaani hata msemaji kajipakulia shea ya mamlaka. Kamanda ndo mwisho wa mambo. Si ajabu kamanda wa nyota mbili kumdindia mwenye mikasi licha ya mwenye nyota tatu. Wanaingia jikoni tu na kupakulia vinono. Kuleni wa nangu sikukuu yenu hii, wao mapaja sisi makucha...
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Usiwe mvivu kudadavua mambo.Danmark waliamua kujiondoa Tanzania kabla mama Mulamula hajaota kuwa siku moja anaweza kuukwaa uwaziri. Uamuzi wa Danmark hauna uhusiano na uwezo wa mama Mulamula. Watanzania tu wavivu wa kufikiri.
John:swali lako ninaogopa kulijibu.Tukiweka pengine siasa pembeni,hv awamu hii ya 6 unaielewa kweli mkuu? kuna Rais? 🤣 🤣 -Hili swali sijawah kujiuliza wallah
Kenge mpaka atoke damu kichwani ndo huwa anaelewaga.Usiwe mvivu kudadavua mambo.
Inaelekea una IQ ndogo.
Baada ya mwendazake miaka mitano na miezi ya kuona hali ki nchi inaendelea kuzorota kwatika fani ya Haki za binadami, kufokewa na Mulamula, business as usual a la Mwendazake.
Halafu unashindwa kuunganisha dots.
Pengine upigwe radi ya kichwani!
Asante sana mkuuJohn:swali lako ninaogopa kulijibu.