Watz hebu tuache unyonge ndg zangu!
Ukiwa na maana gani labda?Watz hebu tuache unyonge ndg zangu!
Umeuza ubongo wako kwa senti ngapi?Jifunze kabla ya kucharaza maandishi.Watz hebu tuache unyonge ndg zangu🤔!
Huyu mama malamula ni mpuuzi tu anasema tanzania inaboresha mahusiano? Yaliyoharibika kivipi? Ujinga ujinga wa kuzurula na kujipendekeza kwa mabwana ndo kuboresha mahusiano? Hopeless!Huyu waziri alianza vibaya nina wasiwasi na uwezo wake
Don't be naive, hiyo inaitwa 'diplomatic language'. Hawawasilishi ujumbe kwa tone yenu ya Buguruni Malapa ya kusutana, hii ni once you receive the message you read between the lines.Sijaona sababu ya Mahusiano mabaya kwenye BARUA yao, au tumejibweteka kwamba ni lazima kusaidiwa hata kama hatuna sababu ya Kusaidiwa? Au tuutangazie ulimwengu Tina Mgogoro wa hali ya Usalma ndani Ili waendelee kutupa misaada?
Sababu ya Kusikitika na Kuwa na haofu ni nini ilhali wamesema wanaelekeza nguvu kwenye Maeneo yenye uhitaji Mkubwa zaidi ya Sisi
Muache yuko ndotoni huyo, akiamka akakumbuka anaeondoka huwa wanamuita nchi muhisani ndio akili zitamrudia.Wewe jamaa ni hopeless sana-Full ujuaji na ubinafsi.Meko ndo maana alikuwa anawakomesha hopeless na wabinafsi kama nyie.Kisa MEKO kuibana construction sector na kuzuia upigaji mliokuwa unafanya ndo kulikufanya umchukie??? Sasa hv unabwabwaja tu kwa sababu fursa za upigaji wa kijinga kwenye construction zimerudi-Huu ubinafsi wa kishamba utaisha lini Tanzania Elli M denooJ Jidu La Mabambasi
Hawa ni ndege wanaoruka pamoja.Kwa namna ambavyo nchi za Nordic zinashirikiana zifuatazo kuhama nchi hii ni Norway, Sweden,na Finland!
MWanuonge viongozi wako sio ss
Wote ni wale waleEeer tena? Sio magufuli aliyeharibu mahusiano?
Serikali kudai inasikitika kwa Uamzi wa Denmark kusitidha Ubalozi nibbling!!
CCM ni chama cha kihuni na kimejaa udikteta mkubwa!! CCM ni zaidi hata ya kile Makaburu wa South Africa walikuwa wakiwafanyia Wazalendo kina Mzee Mandela(rip)!Hujui kwamba CCM ni watu wa propaganda! Taarifa rasmi ya Denmark imeeleza kwa kina sababu za kufunga Balozi ikiwemo nchi zenye mashinikizo katika kufifisha demokrasia, uhuru wa habari na ukiukwaji haki za binadamu.
Wameona bora wakasaidie nchi zenye migogoro ya vita kuliko sisi wanafiki.
Serikali ndio ipi anaposema "Serikali yasikitishwa". Wanaacha kufuatilia sababu na wajenge hoja ya mazungumzo wanasema wanasikitishwa??