Serikali yaeleza kusikitishwa na uamuzi wa Denmark kufunga ubalozi wake

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,402
73EB9B7A-29B7-4D3E-BB05-FE8BDB9F5755.jpeg




422B42AE-771A-4DB2-9D30-90850FB6A0E4.jpeg
 
Hiyo Warning inamaanisha inaipa muda Serikali izungumze nao kuhusu uamuzi wao huo.
Ili iahirishe uamuzi wake huo.
Hiyo ni alarm ya Kidiplomasia tu inayohitaji kueleweka.

Serikali isiendeshwe kimitulinga ikae na Serikali yao ili ipate dukuduku lao lililo pelekea kufanya huo uamuzi.
 
Hiyo Warning inamaanisha inaipa muda Serikali izungumze nao kuhusu uamuzi wao huo.
Ili iahirishe uamuzi wake huo.
Hiyo ni alarm ya Kidiplomasia tu inayohitaji kueleweka.

Serikali isiendeshwe kimitulinga ikae na Serikali yao ili ipate dukuduku lao lililo pelekea kufanya huo uamuzi.
Serikali iache kuwatisha mabalozi. Juzi alisikika waziri akiwapiga mkwara.
Sasa serikali ina sikitika nini tena?
Pigeni mkwara wao wana rudi kwao. Kaeni na ubabe wenu.
 
Kwa miaka takribani sita sasa serikali ya Tanzania imekosa kabisa heshima mbele ya jumuiya ya kimataifa.

Toka nchi hii ipate uhuru haijawahi kuwa na rekodi mbovu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kama ilivyo leo tatizo ambalo linasababishwa na ccm kukata tamaa kabisa na kukosa mbinu yoyote ya kufanya wananchi wakikubali chama hicho.
 
Mulamula anasema serikali ya awamu6 inafufua mahusiano yaliokufa awamu ya 5.
Samia anasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
MaCCM yanasema KICHAA alikua SHUJAA.
Wafadhili /Mabeberu lazima wawashangae, na wanaona ni Serikali iliojaa uhuni na ubabaishaji mwingi.

Mungu awabariki sana Wazungu.!
 
Mbona sababu za kufunga ubalozi zilizoelezwa kwenye hii taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ni tofauti na zile zilizoelezwa kwenye taarifa iliyotoka jana kwenye vyombo vya habari?
Hujui kwamba CCM ni watu wa propaganda! Taarifa rasmi ya Denmark imeeleza kwa kina sababu za kufunga Balozi ikiwemo nchi zenye mashinikizo katika kufifisha demokrasia, uhuru wa habari na ukiukwaji haki za binadamu.

Wameona bora wakasaidie nchi zenye migogoro ya vita kuliko sisi wanafiki.
 
Back
Top Bottom