Hii ni aibu hasa kwa Simbachawene ambaye kesha onyesha dhahiri chuki zake kwa viongozi hao.
Lakini wanachoshindwa kujua ni kuwa ukimchukia Meya wa Dar umewachukia wananchi wa Dar. Waangalie Kule Arusha, walionyesha chuki ya wazi kabisa kwa Lema kilichofuata ni hata ule uhai mdogo wa ccm uliokuwepo wakaumalizia kabisa.
Hizi ni siasa za kishamba kabisa na kama bwana mkubwa anajua na kunyamaza ajue anajimaliza. Akikosa support ndani ya mji mkuu ndio kunalizika kwake, hao wakina Simbachawene na Makonda watanponza, hiyo Dar asijekuta anazomewa ikawa taabu bure!