Serikali yaanza kuhujumu Mameya Dar es Salaam

Serikali yaanza kuhujumu Mameya Dar es Salaam

Dua la kuku.
Kama Ni kweli mbona hakuwaaita waandishi wa habari.Mara ngapi kawaita kwamba MAKONDA anamuingilia kazi zake Na hawahiitaji Pesa za serikali kujiendesha kodi za Wananchi zinatosha.Huwezi kuwa mbabe Kwa mwenye nyumba kama umekodi chumba.
Iko hivi kijana kuwaita waandishi wa habari haitoshi na siyo utaratibu na protocality za kazi kiutendaji.Na siyo dua la kuku halimpati mwewe kuna viongozi wa awamu hii ya tano wanafanya kazi kimasifa ili waonekane na mkulu...na siyo kwa manufaa ya Wananchi zaidi ya komedi nyingi sana.
Tunapokuja suala na maslahi ya Kitaifa haliitaji mzaha na kufikiri kwa kutumia tumbo kama lumumba,tunapaswa kuweka pembeni siasa na kuwatumikia wananchi pasipo kujali itikadi zao,kwani CCM ndiyo iliyotufikisha hapa hadi hata kukosa mlo mmoja wa maana na majanga mengi tu...
Zaidi hizi nafasi za ofa ofa kwa makada na kujuana zinatakiwa sifr kwa kupata katiba mpya itakayo waadhibu viongozi wote kuanzia Rais hadi mwananchi wa kawaida..na kupata mfumo mpya wa serikali.
 
Dua la kuku.
Kama Ni kweli mbona hakuwaaita waandishi wa habari.Mara ngapi kawaita kwamba MAKONDA anamuingilia kazi zake Na hawahiitaji Pesa za serikali kujiendesha kodi za Wananchi zinatosha.Huwezi kuwa mbabe Kwa mwenye nyumba kama umekodi chumba.
Tumia kichwa na akili maana ni dhambi kutumia tumbo kufikiri.
 
A great thinker. Siku hizi ukialikwa mkutanoni.. Kama ratiba yako hairuhusu, una-apologize na kisha kuwapa option ya kuchangia kwa video conference. watakupa ratiba, presentation yako utaifanya kwa video conference na utapata comments hapohapo. Usipotoa hiyo option wanakuona mburula pia. Hii inakubalika kwa mikutano karibu yote ya kimataifa.
Siyo mikutano yote
 
Kamwe shetani haachi asili yake , hila, gilibu na uchonganishi. kamwe ccm haiwezi kubadilika na mtaji wao ni masikini wa kutupa ndio wanaipigia kura japo uchaguzi wa juzi ni UPINZANI ULIAMUA KUKAA KIMYA TU.
 
Nilifikiri awamu ya tano haitaendekeza siasa uchwara, Rais wetu alisema atakuwa raisi wa watu na vyama vyote. Kwa hiyo inawezekana hajui kinachoendelea huku chini. Katika mambo yanayoweza kuturudisha nyuma kiuchumi mojawapo ni kuendekeza siasa uchwara.. Tujaribu kuangalia Zanzibar na siasa zao.. Hapa kazi tu, maana yake hatuna longo longo za siasa...so sad

Mkuu hiyo Zanzibar unayoinyoshea kidole matatizo yake yote yanatengenezwa Bara ili kuwafikisha wananchi pale walipo, lakini cha ajabu sasa wanaaza kutaka kujikwamisha na wenyewe haya yatakua ni malipo kutoka kwa Muumba.
 
Boniface Jacobo, pokea salam zangu, ulitakiwa utwambie ili jambo, siku moja baada ya katibu mkuu kiongozi kuchelewa kukupa kibar, pili ccm haiwez kukupa ruhusu sisi wananchi tulio kuchagua dnio tuliokupa fursa hii, tatu kwa nini husiwaelezee wadau/ waisani hao watusadie maana sisi ni ukawa na serikali yetu inataka topove failure ili tushindwe mwaka 2020?

Hta mimi najiuliza Meya kuomba ruhusa kwenye serikali au CCM kulikua na haja gani?
 
Huyu meya hovyo sana kila siku ni vilio tu sijui lini atatulia afanye kazi?
 
Back
Top Bottom