Watu wanacholalamikia ni haya matamko ya hovyo hovyo kwamba nchi haina njaa halafu watu wamejiapiza hakuna chakula cha msaada, sasa hilo shamba serikali imelitoa wapi? Hii ni aibu kuongoza nchi kama umekatwa kichwa!Wakigawa mnalalamika wakikaa kimya mnalalamika mlitaka watu wafe ndo mje kuilaumu selikari kuwa tulisema kuwa njaa ipo
Walidanganya ndo maana watu wanasema kama hakuna baa LA njaa bhasi kuna upungufu Mkubwa wa chakula muda ni rafiki mzuriWakigawa mnalalamika wakikaa kimya mnalalamika mlitaka watu wafe ndo mje kuilaumu selikari kuwa tulisema kuwa njaa ipo
Anadhani ni sawa na kuchunga ng'ombeHivi huyu mkuu wa kaya alidhani kuongoza nchi ni sawa na kuongoza darasa lenye watoto 40?
Umesikia au umesoma?Nimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo
Sasa kama hamna njaa chakula mnataka kusambaza cha nini?Hizo ni zetu Mkuu. ndio maana tukasema hatuna njaa.
Kwani si serikali inasema Tanzania hakuna njaa!!! Hakika nchi hii inaongozwa vibaya