MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 615
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo mwenyekiti wenu aliposema njaa hakuna alikuwa anaropoka ?Wakigawa mnalalamika wakikaa kimya mnalalamika mlitaka watu wafe ndo mje kuilaumu selikari kuwa tulisema kuwa njaa ipo
serikali ya ccm ni sikivu kauli yake ni faraja tofautisha kualu ya serikali na kauli ya bwana mmoja serikali si mtuHivi kejeli zilipokuwa zikitamkwa zilikuwa zinamaanisha nini? Wamesema hakuna njaa sasa wanaenda kufanya nini huko? Au ndiyo kupima kina cha maji kilipofikia?
Viongozi waache kucheza na akili za watu
Serikali wanachodai wanakigawa sasa hivi wamekitoa wapi? Wameagiza Burundi?Yeye angetoa wapi hicho chakula kama nchi ina upungufu? ataagiza Burundi?
Uchochezi.Nimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo
Mi sina chama mkuu ila kumbuka kuwa maneno ya baba hayawezi kuhitimisha maamzi yake inawezekana badae kashauriwa na wazee wenzake akaamua afanye yanayo fanyika sasaKwa hiyo mwenyekiti wenu aliposema njaa hakuna alikuwa anaropoka ?
Jambo zuri tu.Nimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo
Kwa hiyo kumbe mropokaji ?Mi sina chama mkuu ila kumbuka kuwa maneno ya baba hayawezi kuhitimisha maamzi yake inawezekana badae kashauriwa na wazee wenzake akaamua afanye yanayo fanyika sasa
Mjifunze siku nyingine kubisha wakati hali halisi inaonekana.Wakigawa mnalalamika wakikaa kimya mnalalamika mlitaka watu wafe ndo mje kuilaumu selikari kuwa tulisema kuwa njaa ipo
We nyosha kidole kama una njaa wakuletee chakula. Maswali ya nini tena?
Duhuu kwenye hiyo video pogba anarusha mikono na madole utafkiri anawaelekeza viziwi na vipofu.Siri-kali imenunua shamba?
Mkulu "alitania" kwa kusema serikali haitatoa chakula cha msaada(chakula cha bure).
Link Serikali haitagawa chakula cha msaada - Magufuli | East Africa Television
Kwa nini siri-kali imeamua sasa kubeba misalaba ya wananchi walioshindwa kujitetemesha, wapiga dili, wa-hapana kazi tu kujipatia chakula?
Au wanataka kuzuia mswada binafsi (Zitto) wa kura ya kutokuwa na imani ya mtumbua majipu.
Njaa imepinda nayo inyooshwe.
Link Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara
Link tishio la njaa, vyakula vyapanda
Link BAA LA NJAA NCHINI: Wananchi Kwimba wamsimamishwa Mkuu wa Mkoa wakiwa na mabua yaliyokauka
Hayo magazeti hawaachi tu habari za kichochezi mbona nimemsikiliza viruri pole pole pale Lumumba ameekataa kwa kichwa cha mbwa kwamba hakuna njaa watakuwa wemekosa habari za kuandika wana hamu ya kutumbuliwaNimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo