Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Naomba nichangie kama ifuatavyo......
1.Katika mfumo wa uombaji wa hizi ajira hakukuwa na uwezekano wa kufuta akaunti ya kuombea ajira mara baada ya kuifungua.
2.hakukuwa na uwezekano wa kudelete attachment kama vyeti vya sekondari au taaluma iwapo mtumaji anahisi ametuma kwa makosa.
3.mtandao ulikuwa unasumbua sana sana tena zaidi ya sana wakati wa kuomba isipokuwa siku chache kabla ya deadline kutimu.
Hivyo basi waombaji wengi walifungua akaunti zaidi ya moja huku wakiambatanisha document zilezile kwa sababu ya kuweka maombi yao kwa usawa zaidi,kumbuka kuwa hawakuwa na uwezo wa kufuta akaunt wala kufuta uploaded document.
Kubwa zaidi documents zilisumbua saaaaaana tena sana kuzi upload.watu wakatangaziana kufungua akaunt nyingine na zitakubali kisha zikakubali.

Wizara nao hawakuwa makini kwa upande wao wakati wa uchambuzi.
Hujapata hata "LIKE" moja!! Sijui kwa nini
 
Katika ajira 4549 zilizotangazwa wiki iliyopita, baadhi ya majina yameajiriwa mara mbili katika vituo viwili tofauti. Ukifatilia katika matokeo yao ya NECTA kwa mwaka husika, unagundua kuwa namba hazikujirudia.

1.Hawa hapa walimaliza F4 mwaka 2010
View attachment 1085322
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085323

2. Hawa walimaliza F4 2012
View attachment 1085324
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085325

3. Hawa hapa mmoja alimaliza F4 2011 na mwingine 2015
View attachment 1085328
lakini jambo la kushangaza ni kwamba mwaka 2015 jumla ya idadi ya watahiniwa iliishia 0126 wakati huyu akionekana kuwa na namba 0131.
2011;View attachment 1085329

2015;View attachment 1085330

The Beautyful Ones Are Not Yet Born!
HAPPY MAY DAY!
Kama Namuona Huyo Bujibuji S3283/0132
 
Kwa hili waziri Jafo na watu wake wahusika 100%. Haiwezekani ukae na data muda mrefu namna ile uje na huu upuuzi. Kuna mtoto/ndugu wa Gerson Msigwa kamaliza kidato cha nne 1994(miaka ishirini na tano iliyopita). Lakini kaajiriwa wameacha kijana aliyena umri wa miaka 24-30 kwa manufaa ya taifa. Wao wanafuata maelezo kutoka juu(vimemo). Aibu hii ni ya Jaffo!!!
 
Kwa hili waziri Jafo na watu wake wahusika 100%. Haiwezekani ukae na data muda mrefu namna ile uje na huu upuuzi. Kuna mtoto/ndugu wa Gerson Msigwa kamaliza kidato cha nne 1994(miaka ishirini na tano iliyopita). Lakini kaajiriwa wameacha kijana aliyena umri wa miaka 24-30 kwa manufaa ya taifa. Wao wanafuata maelezo kutoka juu(vimemo). Aibu hii ni ya Jaffo!!!
MnHh...!!!??

Watu wafukunyuku balaa...!!!

Sasa tunaelekea wapi...!!!??

Basi kuna maupendeleo huko. Mbaya sana hii..
 
Huu uzi inabidi mods muufikishe kwa wahusika maana evidence zipo au wanasiasa waingilie kati
 
Kwa hiyo unataka kushindana na chato? Kwani mbarali walipewa intaneshino eapoti? Benki ya gorofa? Taa za "njiani"? Utapata tabu sana
Mkuu kuna makosa mengi sana yamejitokeza kwenye kupanga walimu wapya sijajua ni uharaka au nini? kuna shule za msingi zingine zimekosa walimu kabisa japo kuna hitaji kubwa sana cha kushangaza kuna shule moja huko Rorya wamepewa walimu wa shule ya msingi 9. Haya ni maajabu ya dunia.
 
Vipi documents mtu kahitimu 1994, huku majina yanafanana number za mwisho zitofautiane, Ku create majina tifauti hakufanyi hyo issue itokee
Kama mtu kamaliza form 4 mwaka 1994
Tukichukua kama alianza na miaka 7 (vigumu sana miaka hii kuanza shule umri huo) akamaliza na miaka 17+ 25 (ukihesabu mwaka huo hadi 2019)= 42 ambapo kikanuni maximum age kuajiriwa ajira ya kudumu ni 45 serikalini ajira za kawaida.. Sasa jamaa atafanya miaka 15 au 17 tu anakula kikokotoo.
Maisha kweli hayana formula.
 
Mimi haya ya majina nayaona karibia kila mwaka.

Kingine kilichonishangaza ni kitendo cha TAMISEMI Kuipatia wilaya ya Mbarali walimu wawili tu wa Sekondari tena wote shule moja ilihali kuna shule haina mwal wa Physics hata mmoja.

Wakati huo huo wilaya zingine kama Chato na Ruangwa zikipewa walimu wa sekondari zaidi ya 15 kila wilaya na ajabu zaidi kuna shule moja huko Chato imepewa walimu wa sekondary watano.
Mkuu ni masikitiko halafu kuna kitu kingine watu hawajakiona watu waliopata kazi asilimia kubwa ni watu wenye majina ya kanda ya ziwa niko na list kuna majina ya kisukuma zaid ya 500 yanayoonekana ....

Kwa sababu mm natoka uko na majina nayajua
Kama mtu anabisha atafute majina Yale yale 4500 waone maajabu mengine ya Serikali ya CCM na ukabila....
 
Huku waziri wa ulinzi katimuliwa na waziri mkuu UK
Sasa hebu tuone huko nani atatimuliwa kwa msala huu
 
.
Hakuna cha makosa ya kibinadamu hapa. Huu ni UFISADI.
Hapana mkuu mimi naona ni makosa ya kiuandishi ndio maana hata idadi ya watu kujirudia siyo kubwa na hili lili wahi tokea tena hata kwa miaka ya nyuma...
 
Back
Top Bottom