Serikali ya wanyonge

Serikali ya wanyonge

View attachment 1136976

wenzangu JF naomba kuuliza
kila uzi picha inayoonekana kwangu
ni ya hii gari
Je ni kwangu tu ama hata nyie
Kibaya zaidi nikifungua huo uzi ili nisome kwamba nitakutana na picha yenye hii gari
HOLLA
Hakuna picha
Mfano huu uzi una picha ya watoto wapo shule but nimeiona baada ya kufungua uzi ila kwa juu picha pekee ya uzi inayoonekana ni hii ya gari
sasa unajiuliza heading na hii picha
But ukifungua ndiyo utakuta picha mtu aliyoweka ktk uzi husika

Je ni kwangu au kuna wengine pia wanapata hii shida?
Hii gari inahusu nini hasa?

Sorry nimeuliza hapa baada ya kuona ni picha pekee ktk huu uzi inayoonekana
But nimefungua uzi nisome
sijakutana na hii picha!
Hyo sio ww tu,mm nakutana na picha kwa kila uzi naokutana nao huku
Screenshot_2019-06-24-15-14-17-388_com.quoord.jamiiforums.activity.jpeg
 
Hakuna nayejua ilipo hiyo shule!!! Ninamashaka siyo Tanzania maana ingekuwa hapa kwetu mngeshatuma mpaka picha Za majengo yake
 
Tatizo Mabeberu ndiyo wanatukwamisha,tupo vizuri.

Tunataka na sisi tuanze kutoa misaada nchi za nje.
 
Back
Top Bottom