Serikali ya wanyonge

Serikali ya wanyonge

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,397
1136885


Maendeleo hayana chama
 


Lakini unajua maana ya "serikali ya wanyonge"??

Maana yake ni jinsi maneno yenyewe yanavyojieleza kwamba serikali inayoendeshwa na wanyonge, viongozi wa serikali ndio wanyonge au serikali yao ndio nyonge, sasa msishangae kuona hiyo hali.

Ingekuwa -"serikali kwa ajili ya wanyonge", hapo tungejenga hoja.
 
Kuna wimbo uliimbwa sijui na nani naomba mwenye nao auweke kwenye huu uzi wa dadangu.
Tanzania ooooooo,nchi yangu ooooh!
sijui ni Roma au ni ni mtoto.
 
Hali tu ya hao watoto wenyewe aisee ni hatari kiafya, Mungu tu ndiye atasaidia ukuaji wao mpaka waweze kutoboa na kuwa Civilized, LAKINI NINA MASHAKA HAPO SIO TANZANIA..
 
Back
Top Bottom