Serikali ya wanyonge

Serikali ya wanyonge

Hii picha sio ilichukuliwa kipindi cha awamu iliyopita? Maaja dhamira ya anko Magu ya kuboresha mazingira na ubora wa elimu amefanya kwa kiasi kikubwa..
 
Lakini unajua maana ya "serikali ya wanyonge"??

Maana yake ni jinsi maneno yenyewe yanavyojieleza kwamba serikali inayoendeshwa na wanyonge, viongozi wa serikali ndio wanyonge au serikali yao ndio nyonge, sasa msishangae kuona hiyo hali.

Ingekuwa -"serikali kwa ajili ya wanyonge", hapo tungejenga hoja.
Tafuta definition ya serikali
 
1136978
 
Hahaha kwanza anaweza kuwasaidia halafu ndio ikawa sababu ya Kufilisiwa na serikali. ..maana wata Dhani kuwa ana taka Kugombea ubunge--so anatafuta sympathy
Wewe unachekesha kweli, uache kusaidia famiia yako uende kusaidia wapiga kura wa CCM, waache tu mpaka watakapopata akili ya kujua CCM ni kichaka cha uovu
 
Hata ukifua ngua nguo ni kazi bure! sasa ungebahatika kuona vyooni wanakojisaidia ndio ungejua bado tuko nyuma.
 
Back
Top Bottom