Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 850
- 788
Hivi cheti chake kapata toka chuo gani huyu so called PS?
Hivi ni kwanini serikali inatumia nguvu nyingi mno mno kutaka kuonyesha hakuna corona? Corona imeenea duniani kote lakini wao hawataki kabisa watu hata kutaja tu jina. Magufuli ana nini? Anaongoza kwa kutumia unabii wa Gwajima? Cha ajabu na wasomi wengi wameamua kujitoa ufahamu kama yeye. Maprofesa wanazungumza pumba kabisa ili waonekane hawako against Magufuli. Sijawahi kuona nchi ya namna hii. Ila na sisi watanzania tumezidisha woga. Unakuta mtu anafiwa na ndugu kwa corona lakini anaogopa kusema. Nchi sasa inalazimishwa kufiri kwa kutumia akli za mtu mmoja asiye na elimu ya kutoshaNadhani ni msukuma
Hotsand breathinghivi changamoto ya kupumua kwa kingleza unasemaje
Breath Challenge au Challenge in Breathing.hivi changamoto ya kupumua kwa kingleza unasemaje