Serikali ya Somalia yatangaza rasmi kwamba KDF ni adui wa Somalia

Waganda wengi wamekufa Somalia kuliko Kenyans. Today is another incident.
 
Jamhuri ya watu wa Somaliland imeweka majeshi yake kwenye High alert iwapo Somalia itaanzisha Vita ya kijinga na KDF Somaliland itafungua ne New Front from the North.

Ili wanaume wakutane Mogadishu kama ilivyokuwa wakati wa Second world war.
Trust me Hao wanajeshi wa Mogadisho wakisikia Northern warriors wanashuka Migadishu watakimbia mpaka wasahau Viatu.
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Mogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na Somaliland
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Hivi unaunatumia mdomo kuongea au Lufindo.hebu nijibu fasta
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Hivi unaunatumia mdomo kuongea au Lufindo.hebu nijibu fasta
 
Jana Raisi wa Mogadishu kalala kwenye banda la mbuzi Heavy Mortars zilikuwa zikishuka kama mvua
 
Kenya imeshindwa kuwadhibiti Alshabaab wanapiga eneo lolote wanalotaka ndani ya Kenya.
 
Mbele ya macho ya KDF waliosema wanaenda Somalia kusambaratisha Alshabaab, lakushangaza Alshabaab wana collect taxes toka kwa KDF wanaouza makaa.
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia

Jana hiyo Gavana wa Mogadisho mwizi wa Bahari Tukufu ya Kenya alilala kwenye Kibanda cha Mbuzi vitu vilikuwa vinamwagika kama mvua ya Masika cheza na KDF weye.
 
Kama al shabab wanarun huko Mogadishu basi ni kwa sababu ya udhaifu wa KDF
 
Alshabaab wako na Eneo lao wanashikilia kule South west, ndiko wanakopanga mashambulizi dhidi ya Kenya na kambi za KDF ndani ya Somalia, ile ndege vita ya Kenya ilipodunguliwa na Alshabaab iliangukia katika eneo hilo lililo chini ya Alshabaab lakini KDF waliogopa kwenda kumtafuta rubani wao hadi Leo wanaogopa kwenda kumtafuta.
Mogadishu iko under sector 1 ambayo Uganda ndo wako responsible.
 
Mbele ya macho ya KDF waliosema wanaenda Somalia kusambaratisha Alshabaab, lakushangaza Alshabaab wana collect taxes toka kwa KDF wanaouza makaa.
Wewe endelea kuamini ripoti za NGOs .who are the number one funders of alshabaab.
 
Wewe endelea kuamini ripoti za NGOs .who are the number one funders of alshabaab.
Hahahaha, lakini si mlienda kuwamaliza Alshabaab ili wasisumbue Kenya?, mbona wanashikilia eneo la nchi ya Somalia lakini hamuwezi kuwafuata ili muwamalize?
 
Hahahaha, lakini si mlienda kuwamaliza Alshabaab ili wasisumbue Kenya?, mbona wanashikilia eneo la nchi ya Somalia lakini hamuwezi kuwafuata ili muwamalize?
Eneo unalo ongea kuhusu linaitwa jilib . alshabaab walikita mizizi huko baada ya kufurushwa Maeneo mengineyo . Wana support nyingi Sana ya locals ila eneo lenyewe si strategic Kama vile Kismayu
ama babera ambazo walikuwa wakizitumia kama financial na administrative capitals.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…