Waganda wengi wamekufa Somalia kuliko Kenyans. Today is another incident.Hamna uzoefu wowote wa kupambana na magaidi, hapo hata usijaribu kujiweka kwa hesabu, nyinyimkiingia kule itakua ni vicheko kila siku..
Alafu hao wengine hua husikii lakini usidhani hua hawashambuliwi, kati ya majeshi yote Uganda ndo wamepoteza wengi kuliko nchi yoyote huko Somalia..
Al-Shabab Militants Attack Ethiopian Base In Somalia
The al Qaeda-linked militant group said that its fighters detonated a car bomb at the base in the central town of Haglan, killing 60 soldiers.www.ibtimes.com
Lakini ukiangalia kwa takwimu, Licha ya KDF kuwa na wanajeshi wacchache huko Somalia ndo imeweza kuua alshabaab wengi zaidi na kujiweka kwa risk kubwa zaidi manake lile eneo tunaloshika doria ni kubwa licha ya kua na wanajeshi wachache, Hao Ethiopia wanatabia ya kuondoka eneo lao na kurudi hadi ndani ya Ethiopia ...
Unaiyona El-Adde hapo iko ndani ya Sector 3 ambayo inafaa kushikwa doria na Ethiopia, Hapo ndo kambi ya KDf ilishambuliwa na Alshabaab, hii ilikua ni baada ya Ethiopia kuwacha kushikilia doria hilo eneo kwa miezi kadhaa kusababisha KDF ambayo tayari ina majukumu yake kuweka kambi huko manake El-Adde ni karibu na Kenya na tukiacha wazi basi alshabaab watakua na uwezo wa kuja kwa ma mia wakiwa na magari hadi ndani ya Kenya bila kuzuliwa na yeyote.... Kwahivyokushambuliwa kwa KDF si eti KDF haijui kupigana, ni kwamba sisi ndo tunafanya kazi kubwa licha ya kuwa na wanajeshi wachache.......... Hebu ni kuulize, kwanini kati ya hizo nchi zote zilizo tuma majeshi kuko Somalia, mbona Alshabaab walikiri kwamba Kenya ndo nchi ambayo mujahedeen wote wanafaa kupigana nayo kwa holly-war , hawajawahi kufanya hivyo kwa hizo nchi nyengine.... Pia mbona alshabaab ina kikosi spesheli cha kushambulia Kenya wakati hakuna vikosi spesheli vya kushambulia wanajeshi wa hizo nchi nyengine?? Kla siku/mwezi utaskia habari kutoka somalia, KDF this, KDF that, ni nadra sana usikie habari za wanajeshi wa uganda au ethiopia au burundi na hao ndo wengi huko somalia...kwanini??
Thubutuuu!!!!Subiri Al Shabaab waanze kuripua visima vya mafuta kule Turkana hawa nyang'au akili itawakaa vizuri. Adui muombee njaa.
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya SomaliaJamhuri ya watu wa Somaliland imeweka majeshi yake kwenye High alert iwapo Somalia itaanzisha Vita ya kijinga na KDF Somaliland itafungua ne New Front from the North.
Ili wanaume wakutane Mogadishu kama ilivyokuwa wakati wa Second world war.
Trust me Hao wanajeshi wa Mogadisho wakisikia Northern warriors wanashuka Migadishu watakimbia mpaka wasahau Viatu.
Mogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na SomalilandAcha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Hivi unaunatumia mdomo kuongea au Lufindo.hebu nijibu fastaAcha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Hivi unaunatumia mdomo kuongea au Lufindo.hebu nijibu fastaAcha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Kenya imeshindwa kuwadhibiti Alshabaab wanapiga eneo lolote wanalotaka ndani ya Kenya.Mogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na Somaliland
Shabaab Terrorists Fires Mortar’s Targeting Ethiopian Embassy Building at Somalia’s Presidential Palace in the Capital
The Al-Qaeda branch in Somalia, Harakat Shabaab Mujahideen has successfully fired 3 mortar rounds targeting the Villa Somalia, the Presidential Palace and Residence of the President of Somalia in the capital Mogadishu. Villa Somalia, a heavily fortified...intelligencebriefs.com
Mbele ya macho ya KDF waliosema wanaenda Somalia kusambaratisha Alshabaab, lakushangaza Alshabaab wana collect taxes toka kwa KDF wanaouza makaa.Yani hata alshabaab Wana run parallel gvt na wana collect taxesAl-Shabaab Allegedly Orders Stop to Stadium Reconstruction in Mogadishu over Tax Deal with Contractor
The Al-Qaeda aligned militant group Al-Shabaab allegedly ordered a construction company reconstructing the National Stadium in Mogadishu to stop reconstructions works, local media reports. Corresponding local reports from Somalia indicate that Al-Shabaab...intelligencebriefs.com
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Nimeshakuzoea na pic zako za kuunga ungaView attachment 1205375
Jana hiyo Gavana wa Mogadisho mwizi wa Bahari Tukufu ya Kenya alilala kwenye Kibanda cha Mbuzi vitu vilikuwa vinamwagika kama mvua ya Masika cheza na KDF weye.
View attachment 1205382View attachment 1205375
Kama al shabab wanarun huko Mogadishu basi ni kwa sababu ya udhaifu wa KDFMogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na Somaliland
Shabaab Terrorists Fires Mortar’s Targeting Ethiopian Embassy Building at Somalia’s Presidential Palace in the Capital
The Al-Qaeda branch in Somalia, Harakat Shabaab Mujahideen has successfully fired 3 mortar rounds targeting the Villa Somalia, the Presidential Palace and Residence of the President of Somalia in the capital Mogadishu. Villa Somalia, a heavily fortified...intelligencebriefs.com
Mogadishu iko under sector 1 ambayo Uganda ndo wako responsible.Kama al shabab wanarun huko Mogadishu basi ni kwa sababu ya udhaifu wa KDF
Mogadishu iko under sector 1 ambayo Uganda ndo wako responsible.
Wewe endelea kuamini ripoti za NGOs .who are the number one funders of alshabaab.Mbele ya macho ya KDF waliosema wanaenda Somalia kusambaratisha Alshabaab, lakushangaza Alshabaab wana collect taxes toka kwa KDF wanaouza makaa.
Hahahaha, lakini si mlienda kuwamaliza Alshabaab ili wasisumbue Kenya?, mbona wanashikilia eneo la nchi ya Somalia lakini hamuwezi kuwafuata ili muwamalize?Wewe endelea kuamini ripoti za NGOs .who are the number one funders of alshabaab.
Eneo unalo ongea kuhusu linaitwa jilib . alshabaab walikita mizizi huko baada ya kufurushwa Maeneo mengineyo . Wana support nyingi Sana ya locals ila eneo lenyewe si strategic Kama vile KismayuHahahaha, lakini si mlienda kuwamaliza Alshabaab ili wasisumbue Kenya?, mbona wanashikilia eneo la nchi ya Somalia lakini hamuwezi kuwafuata ili muwamalize?