Serikali ya Somalia yatangaza rasmi kwamba KDF ni adui wa Somalia

Kwa sasa Raisi wa Maharamia Mohamed Farmajo katamgaza vita na KDF na KENYA imepata msaidizi ambae ni Local Millitia kutoka JuBa

Somaliland iko tayari muda wowote Kutoa Msaada wa Kijeahi ukizingatia ni Majeshi matiifu ya Somaliland ndio yalioyomfanya Dikteta Mohamed Siad Bare Kukinbia bila kuangalia nyuma.
Eatleigh kihisroria walipewa Askari kutoka British Somaliland kabla ya hawa wasomali wenye kubana pua na wenye kujiona Superior kuliko sisi Wabantu

Walikuja kuivamia Eatleigh na kuleta pesa zao haramu za Ransom

Juzi nilipokuwa Nairobi nilishuhudia Serikali ya Mtukufu Mwugai Kenyatta akiwapa Ardhi Hekta 6000 Elfu sita Wasomali wa Somaliland huko Rift valley kama zawadi ya Askari wa Mwingereza.
 
Hili sio jambo la kupuuza, uhusiano kati ya Serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Jumuiya ya kimataifa, AU na Ethiopia imetangaza rasmi kupitia Waziri wake kwamba KDF ni adui wa Somalia.

Hii ni hatari sana kwa usalama wa Kenya ambao tayari ni mbaya sana, hasa hasa baada ya KDF kujipeleka Somalia kichwa kichwa kuisadia serikali hiyo hiyo ya Somalia ambayo Leo inawaona KDF kuwa ni adui yao.
Endelea kungoja Kenya Ianguke... Mi hua nishawahi kuwaambia hapa... Never bet against Kenya!!! no matter how much you think the odds are against us!

Hizi ni za leo leo!

75339676_3076372635711573_8804136465161256960_o.jpg

74866344_3076372539044916_5920226510429487104_o.jpg


75580185_3076476615701175_9067120572575514624_o.jpg
75134159_3076477069034463_3631966405835882496_o.jpg



69905831_3076477515701085_7165915855476228096_o.jpg








Kenya and Somalia agree to normalise relations, restore visa on arrival arrangement

NAIROBI, 14 Nov 2019 – Kenya and Somalia have today agreed to normalize bilateral relations starting with the restoration of the issuance of travel visas on arrival arrangement for citizens of the two nations.

The restoration of the visa on arrival arrangement is aimed at enhancing free and unhindered movement of people and commerce between Kenya and Somalia.

The agreement was reached today during a meeting between Presidents Uhuru Kenyatta and Mohamed Abdullahi Mohamed of the Federal Republic of Somalia on the sidelines of the just concluded Nairobi ICPD25 summit.
During the meeting, the two leaders reaffirmed the invaluable relations that exist between Kenya and Somalia and agreed to explore avenues of strengthening bilateral and diplomatic ties between Nairobi and Mogadishu for the benefit of the citizens of the two nations.
President Mohamed conveyed his gratitude to President Kenyatta for the role Kenya continues to play in AMISOM and for the hospitality the country continues to accord Somali refugees.
The Somali leader expressed confidence that the maritime boundary dispute between his country and Kenya that is currently before the International Court of Justice in The Hague will be resolved in a mutually acceptable manner. .
 
Kenya: Somali Business Community in Kenya Meet With Visiting President Farmajo

14 NOVEMBER 2019
Shabelle Media Network (Mogadishu)
Somali President, Mohamed Abdullahi Farmajo has called upon the Somali business community in neighboring Kenya to play their part in the efforts to provide humanitarian assistance to citizens affected by the flooding in the country.
More than 200, 000 people were affected by the flash floods in three main regions namely Hiran, Bakol and Lower Jubba following heavy torrential rains in the past weeks.
The head of state was speaking during a meeting with the business people in Nairobi after attending the United Nations coordinated International Conference on Population and Development on Wednesday.

President Farmajo, who briefed them on the recent political and security development back home appealed to the diaspora community in the East African state to help his government rebuild the reclaimed embassy in Nairobi.
"The diplomatic mission belongs to you; we need you to play a key role in its refurbishment to show the world that we can do it."
The event which took place at the Somali embassy was also attended by other government officials that accompanied the President in his visit including, the State Minister for Foreign Affairs, Abdulkadir Ahmed Khayr, Health Minister, Dr. Fowzia Abikar Nur, and Ambassador Ahmed Nur Tarsan.
 
Back
Top Bottom