The Strong Somalia Is a trigger to Regional Confict in Horn of Africa!!! Somalia yenye nguvu ndio mwanzo wa vita pembe ya Africa

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,088
2,705
S/N 1/3

Historia ya Somalia.

Kuliangalia hili

Somalia imepata uhuru mwaka 1960

Kenya imepata uhuru mwaka 1963

Djibuit imepata uhuru mwaka 1977

Ethiopia haikutawaliwa isipokua sehemu ya Eritrea.

Somaliland ziliungana na Somalia mwaka 1960 July.Somaliland ilitawaliwa na Italy hivo iliitwa italy somalia au somaliland na Somalia ilitawaliwa na British na kuitwa British somalia au Somalia.

Mwaka 1960 ndio ziliunganishwa na kua nchi moja. Iliendelea hivyo hadi mwaka 1969 ambapo ilipinduliwa na Mohamed Siad Barre (Maxamed Siad Barre) Generali wa jeshi aliyepindua serikali ya kidemocrasia.

Raisi mpya huyu alikuja kupinduliwa mwaka 1995 na vikundi vya upinzani kutoka koo tofauti tofauti za kisomali.

Na hapo ndipo ilikua mwanzo wa somalia hii inayofahamika ya vita, maujaji ugaidi na uharamia.

Ni huyu huyu raisi ndiye aliyeongoza vita dhidi ya Ehiopia kujaribu kulichukua Eneo la Orgaden ambalo waishipo huko wengi ni wasomali.

Mtazamo wa wasomali wa sasa!

Wasomali wanaamini kua Sehemu yeyote wanayoishi wasomali inabidi iunganishwe na somalia kuuu!!

Kama unaifahamu bendera ya somalia basi utaona ina nyota katikati ! Kwamba wanaamini
One people ,one ethnic and One religion (Wamoja,dini moja na kabila moja)kwamba wao ni kitu kimoja.

Hivyo kwa mantic hii wanaona pia eneo La kenya Ambapo jamii ya wasomali inaishi pia ni la kwao na wanataka liwe sehemu ya somalia.

Pili bado hawajasahau vita ambayo walishindwa vibaya na Ethiopia kuhusu jimbo linalokaliwa na wasomali la Orgaden.Bado wana hamu kulirusha.

Kwa mantiki hii kupona kwa somalia ambako ni kitu kizuri lakini kuna kuja pia na mengi .Na kati ya hayo mengi ni pamoja na kupigana hii vita kuweza kuyakomboa (si kuyakomboa kiuhalisia) au kuyanyang’anya maeneo haya.

IMG_5073.jpg

Picha za vita ya Ethiopia na somalia
 
S/N 1/3

Historia ya Somalia.

Kuliangalia hili

Somalia imepata uhuru mwaka 1960

Kenya imepata uhuru mwaka 1963

Djibuit imepata uhuru mwaka 1977

Ethiopia haikutawaliwa isipokua sehemu ya Eritrea.

Somaliland ziliungana na Somalia mwaka 1960 July.Somaliland ilitawaliwa na Italy hivo iliitwa italy somalia au somaliland na Somalia ilitawaliwa na British na kuitwa British somalia au Somalia.

Mwaka 1960 ndio ziliunganishwa na kua nchi moja. Iliendelea hivyo hadi mwaka 1969 ambapo ilipinduliwa na Mohamed Siad Barre (Maxamed Siad Barre) Generali wa jeshi aliyepindua serikali ya kidemocrasia.

Raisi mpya huyu alikuja kupinduliwa mwaka 1995 na vikundi vya upinzani kutoka koo tofauti tofauti za kisomali.

Na hapo ndipo ilikua mwanzo wa somalia hii inayofahamika ya vita, maujaji ugaidi na uharamia.

Ni huyu huyu raisi ndiye aliyeongoza vita dhidi ya Ehiopia kujaribu kulichukua Eneo la Orgaden ambalo waishipo huko wengi ni wasomali.

Mtazamo wa wasomali wa sasa!

Wasomali wanaamini kua Sehemu yeyote wanayoishi wasomali inabidi iunganishwe na somalia kuuu!!

Kama unaifahamu bendera ya somalia basi utaona ina nyota katikati ! Kwamba wanaamini
One people ,one ethnic and One religion (Wamoja,dini moja na kabila moja)kwamba wao ni kitu kimoja.

Hivyo kwa mantic hii wanaona pia eneo La kenya Ambapo jamii ya wasomali inaishi pia ni la kwao na wanataka liwe sehemu ya somalia.

Pili bado hawajasahau vita ambayo walishindwa vibaya na Ethiopia kuhusu jimbo linalokaliwa na wasomali la Orgaden.Bado wana hamu kulirusha.

Kwa mantiki hii kupona kwa somalia ambako ni kitu kizuri lakini kuna kuja pia na mengi .Na kati ya hayo mengi ni pamoja na kupigana hii vita kuweza kuyakomboa (si kuyakomboa kiuhalisia) au kuyanyang’anya maeneo haya.

View attachment 2888881
Picha za vita ya Ethiopia na somalia
Ethiopia imeshachelewa
 
Sasa kama wameondokewa vikwazo vyote vya silaha na Mabeberu unategemea ku recover kupi zaidi ya kununua silaha ?

Somalia shida iko ndani siyo nje!!
Silaha zitatumika kupigana wao kwa wao na kwene uharamia.

Ikumbukwe hata vita ya 1995 ni kutoka ndani ya somalia yenyewe
 
S/N 1/3

Historia ya Somalia.

Kuliangalia hili

Somalia imepata uhuru mwaka 1960

Kenya imepata uhuru mwaka 1963

Djibuit imepata uhuru mwaka 1977

Ethiopia haikutawaliwa isipokua sehemu ya Eritrea.

Somaliland ziliungana na Somalia mwaka 1960 July.Somaliland ilitawaliwa na Italy hivo iliitwa italy somalia au somaliland na Somalia ilitawaliwa na British na kuitwa British somalia au Somalia.

Mwaka 1960 ndio ziliunganishwa na kua nchi moja. Iliendelea hivyo hadi mwaka 1969 ambapo ilipinduliwa na Mohamed Siad Barre (Maxamed Siad Barre) Generali wa jeshi aliyepindua serikali ya kidemocrasia.

Raisi mpya huyu alikuja kupinduliwa mwaka 1995 na vikundi vya upinzani kutoka koo tofauti tofauti za kisomali.

Na hapo ndipo ilikua mwanzo wa somalia hii inayofahamika ya vita, maujaji ugaidi na uharamia.

Ni huyu huyu raisi ndiye aliyeongoza vita dhidi ya Ehiopia kujaribu kulichukua Eneo la Orgaden ambalo waishipo huko wengi ni wasomali.

Mtazamo wa wasomali wa sasa!

Wasomali wanaamini kua Sehemu yeyote wanayoishi wasomali inabidi iunganishwe na somalia kuuu!!

Kama unaifahamu bendera ya somalia basi utaona ina nyota katikati ! Kwamba wanaamini
One people ,one ethnic and One religion (Wamoja,dini moja na kabila moja)kwamba wao ni kitu kimoja.

Hivyo kwa mantic hii wanaona pia eneo La kenya Ambapo jamii ya wasomali inaishi pia ni la kwao na wanataka liwe sehemu ya somalia.

Pili bado hawajasahau vita ambayo walishindwa vibaya na Ethiopia kuhusu jimbo linalokaliwa na wasomali la Orgaden.Bado wana hamu kulirusha.

Kwa mantiki hii kupona kwa somalia ambako ni kitu kizuri lakini kuna kuja pia na mengi .Na kati ya hayo mengi ni pamoja na kupigana hii vita kuweza kuyakomboa (si kuyakomboa kiuhalisia) au kuyanyang’anya maeneo haya.

View attachment 2888881
Picha za vita ya Ethiopia na somalia
Barre amepinduliwa mwaka 1991
 
Dini hairuhusu watulie kwa amani, wataendelea kunyukana hivyo almradi wote wamejiweka kwenye uzombi wa dini, kuna hayo mashababi hulipua humo Somalia tena kwenye masoko ya akina mama wanaouza mboga mboga hadi nashindwa nani ndiye adui wa nani.
 
Madhara yakupokea wakimbizi wakizaliana wakawa wengi wanaona eneo hilo ni lao hatari sana,,,hivi hao wasomali wa kenya wanataka kweli kujitenga?haha maana asilimia kubwa wapo proud kujiita wakenya,, wacha tuone!
 
Madhara yakupokea wakimbizi wakizaliana wakawa wengi wanaona eneo hilo ni lao hatari sana,,,hivi hao wasomali wa kenya wanataka kweli kujitenga?haha maana asilimia kubwa wapo proud kujiita wakenya,, wacha tuone!

Wako proud kujiitaa wakenya kwasababu nchi yao haieleweki siku ikieleweka haswa watataka kujiunga somalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom