Serikali ya Somalia yatangaza rasmi kwamba KDF ni adui wa Somalia

Hamna uzoefu wowote wa kupambana na magaidi, hapo hata usijaribu kujiweka kwa hesabu, nyinyimkiingia kule itakua ni vicheko kila siku..

Alafu hao wengine hua husikii lakini usidhani hua hawashambuliwi, kati ya majeshi yote Uganda ndo wamepoteza wengi kuliko nchi yoyote huko Somalia..


Lakini ukiangalia kwa takwimu, Licha ya KDF kuwa na wanajeshi wacchache huko Somalia ndo imeweza kuua alshabaab wengi zaidi na kujiweka kwa risk kubwa zaidi manake lile eneo tunaloshika doria ni kubwa licha ya kua na wanajeshi wachache, Hao Ethiopia wanatabia ya kuondoka eneo lao na kurudi hadi ndani ya Ethiopia ...


Screen+Shot+2013-09-23+at+4.14.51+PM.png



somalia-amisom-2.jpg



Unaiyona El-Adde hapo iko ndani ya Sector 3 ambayo inafaa kushikwa doria na Ethiopia, Hapo ndo kambi ya KDf ilishambuliwa na Alshabaab, hii ilikua ni baada ya Ethiopia kuwacha kushikilia doria hilo eneo kwa miezi kadhaa kusababisha KDF ambayo tayari ina majukumu yake kuweka kambi huko manake El-Adde ni karibu na Kenya na tukiacha wazi basi alshabaab watakua na uwezo wa kuja kwa ma mia wakiwa na magari hadi ndani ya Kenya bila kuzuliwa na yeyote.... Kwahivyokushambuliwa kwa KDF si eti KDF haijui kupigana, ni kwamba sisi ndo tunafanya kazi kubwa licha ya kuwa na wanajeshi wachache.......... Hebu ni kuulize, kwanini kati ya hizo nchi zote zilizo tuma majeshi kuko Somalia, mbona Alshabaab walikiri kwamba Kenya ndo nchi ambayo mujahedeen wote wanafaa kupigana nayo kwa holly-war , hawajawahi kufanya hivyo kwa hizo nchi nyengine.... Pia mbona alshabaab ina kikosi spesheli cha kushambulia Kenya wakati hakuna vikosi spesheli vya kushambulia wanajeshi wa hizo nchi nyengine?? Kla siku/mwezi utaskia habari kutoka somalia, KDF this, KDF that, ni nadra sana usikie habari za wanajeshi wa uganda au ethiopia au burundi na hao ndo wengi huko somalia...kwanini??
Waganda wengi wamekufa Somalia kuliko Kenyans. Today is another incident.
 
Jamhuri ya watu wa Somaliland imeweka majeshi yake kwenye High alert iwapo Somalia itaanzisha Vita ya kijinga na KDF Somaliland itafungua ne New Front from the North.

Ili wanaume wakutane Mogadishu kama ilivyokuwa wakati wa Second world war.
Trust me Hao wanajeshi wa Mogadisho wakisikia Northern warriors wanashuka Migadishu watakimbia mpaka wasahau Viatu.
 
Jamhuri ya watu wa Somaliland imeweka majeshi yake kwenye High alert iwapo Somalia itaanzisha Vita ya kijinga na KDF Somaliland itafungua ne New Front from the North.

Ili wanaume wakutane Mogadishu kama ilivyokuwa wakati wa Second world war.
Trust me Hao wanajeshi wa Mogadisho wakisikia Northern warriors wanashuka Migadishu watakimbia mpaka wasahau Viatu.
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Mogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na Somaliland
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Hivi unaunatumia mdomo kuongea au Lufindo.hebu nijibu fasta
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
Hivi unaunatumia mdomo kuongea au Lufindo.hebu nijibu fasta
 
Jana Raisi wa Mogadishu kalala kwenye banda la mbuzi Heavy Mortars zilikuwa zikishuka kama mvua
 
Mogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na Somaliland
Kenya imeshindwa kuwadhibiti Alshabaab wanapiga eneo lolote wanalotaka ndani ya Kenya.
 
Yani hata alshabaab Wana run parallel gvt na wana collect taxes
Mbele ya macho ya KDF waliosema wanaenda Somalia kusambaratisha Alshabaab, lakushangaza Alshabaab wana collect taxes toka kwa KDF wanaouza makaa.
 
Acha UONGO wewe mzee Somaliland haina uwezo wa kupambana na Somalia pia hizo jubaland na Somaliland ni swala la muda tu zitarudi chini ya Somalia
_42845079_launchers416.jpg

Jana hiyo Gavana wa Mogadisho mwizi wa Bahari Tukufu ya Kenya alilala kwenye Kibanda cha Mbuzi vitu vilikuwa vinamwagika kama mvua ya Masika cheza na KDF weye.
Kenya army NEP Somalia border.jpg
_42845079_launchers416.jpg
 
Mogadishu wameshindwa kuwadhibiti alshabaab Hadi kwenye presidential palace watawezaje ku pigana na Somaliland
Kama al shabab wanarun huko Mogadishu basi ni kwa sababu ya udhaifu wa KDF
 
Alshabaab wako na Eneo lao wanashikilia kule South west, ndiko wanakopanga mashambulizi dhidi ya Kenya na kambi za KDF ndani ya Somalia, ile ndege vita ya Kenya ilipodunguliwa na Alshabaab iliangukia katika eneo hilo lililo chini ya Alshabaab lakini KDF waliogopa kwenda kumtafuta rubani wao hadi Leo wanaogopa kwenda kumtafuta.
Mogadishu iko under sector 1 ambayo Uganda ndo wako responsible.
 
Mbele ya macho ya KDF waliosema wanaenda Somalia kusambaratisha Alshabaab, lakushangaza Alshabaab wana collect taxes toka kwa KDF wanaouza makaa.
Wewe endelea kuamini ripoti za NGOs .who are the number one funders of alshabaab.
 
Wewe endelea kuamini ripoti za NGOs .who are the number one funders of alshabaab.
Hahahaha, lakini si mlienda kuwamaliza Alshabaab ili wasisumbue Kenya?, mbona wanashikilia eneo la nchi ya Somalia lakini hamuwezi kuwafuata ili muwamalize?
 
Hahahaha, lakini si mlienda kuwamaliza Alshabaab ili wasisumbue Kenya?, mbona wanashikilia eneo la nchi ya Somalia lakini hamuwezi kuwafuata ili muwamalize?
Eneo unalo ongea kuhusu linaitwa jilib . alshabaab walikita mizizi huko baada ya kufurushwa Maeneo mengineyo . Wana support nyingi Sana ya locals ila eneo lenyewe si strategic Kama vile Kismayu
ama babera ambazo walikuwa wakizitumia kama financial na administrative capitals.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom