Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 19,160
- 15,428
Waganda wengi wamekufa Somalia kuliko Kenyans. Today is another incident.Hamna uzoefu wowote wa kupambana na magaidi, hapo hata usijaribu kujiweka kwa hesabu, nyinyimkiingia kule itakua ni vicheko kila siku..
Alafu hao wengine hua husikii lakini usidhani hua hawashambuliwi, kati ya majeshi yote Uganda ndo wamepoteza wengi kuliko nchi yoyote huko Somalia..
Al-Shabab Militants Attack Ethiopian Base In Somalia
The al Qaeda-linked militant group said that its fighters detonated a car bomb at the base in the central town of Haglan, killing 60 soldiers.www.ibtimes.com
Lakini ukiangalia kwa takwimu, Licha ya KDF kuwa na wanajeshi wacchache huko Somalia ndo imeweza kuua alshabaab wengi zaidi na kujiweka kwa risk kubwa zaidi manake lile eneo tunaloshika doria ni kubwa licha ya kua na wanajeshi wachache, Hao Ethiopia wanatabia ya kuondoka eneo lao na kurudi hadi ndani ya Ethiopia ...
Unaiyona El-Adde hapo iko ndani ya Sector 3 ambayo inafaa kushikwa doria na Ethiopia, Hapo ndo kambi ya KDf ilishambuliwa na Alshabaab, hii ilikua ni baada ya Ethiopia kuwacha kushikilia doria hilo eneo kwa miezi kadhaa kusababisha KDF ambayo tayari ina majukumu yake kuweka kambi huko manake El-Adde ni karibu na Kenya na tukiacha wazi basi alshabaab watakua na uwezo wa kuja kwa ma mia wakiwa na magari hadi ndani ya Kenya bila kuzuliwa na yeyote.... Kwahivyokushambuliwa kwa KDF si eti KDF haijui kupigana, ni kwamba sisi ndo tunafanya kazi kubwa licha ya kuwa na wanajeshi wachache.......... Hebu ni kuulize, kwanini kati ya hizo nchi zote zilizo tuma majeshi kuko Somalia, mbona Alshabaab walikiri kwamba Kenya ndo nchi ambayo mujahedeen wote wanafaa kupigana nayo kwa holly-war , hawajawahi kufanya hivyo kwa hizo nchi nyengine.... Pia mbona alshabaab ina kikosi spesheli cha kushambulia Kenya wakati hakuna vikosi spesheli vya kushambulia wanajeshi wa hizo nchi nyengine?? Kla siku/mwezi utaskia habari kutoka somalia, KDF this, KDF that, ni nadra sana usikie habari za wanajeshi wa uganda au ethiopia au burundi na hao ndo wengi huko somalia...kwanini??