Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Kwamba Washauri wa Rais wakamshauri, ili hii Jamii ya Wamaasai itoke Eneo hili na MWARABU WETU awekeze Kwa Amani, inabidi kuzuia Uwekezaji kwenye huduma za Kijamii kama vile Afya na Elimu.
Duuuhhhh Wamasai bado wakaamua Kufa Kwa kukosa Huduma lakini wafie katika Ardhi Yao
Duuuhhhh Wamasai bado wakaamua Kufa Kwa kukosa Huduma lakini wafie katika Ardhi Yao