wawafukuze tu kama hawafyata taratibu,,,,,we unataka tufuge majambazi,,,??? kani ulishasikia hao watanzania na wao wanateka magari na wanafanya ujambazi huko kwao???? acha ubwege wewe....kama wewe naye ni mkimbizi au mvamizi wa nchi yetu ya tanzania ondoka au kama wewe naye ni jambazi ondoka nenda kwenu kabla jeshi halijakukamata kama bata