mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,041
- 35,929
Mkoa wa omanZanzibar ni nchi au mkoa?
Mkoa wa omanZanzibar ni nchi au mkoa?
Oooh, sasa kwanini mliwaondosha maarabu wakati bado mwawapenda?Mkoa wa oman
Ya ngoswe muwachie ngoswe hata nyie bado mnatawaliwa na mkoloni mweusiOooh, sasa kwanini mliwaondosha maarabu wakati bado mwawapenda?
Au mnataka waje watengeneze tena maarabu koko waliopo hawatoshi?
Mkoloni mweusi kutoka taifa gani?Ya ngoswe muwachie ngoswe hata nyie bado mnatawaliwa na mkoloni mweusi
Mkoloni wenu Ccm,si tushawakataa ccm basi mwatupora tu ushindi na walahi mwaka huu hatukubali shehe wanguMkoloni mweusi kutoka taifa gani?
Nachojua sisi (Tanganyika) koloni letu ni Zanzibar
Kama ni Nchi mbona Raisi wao anateuliwa kutoka Dodoma ,Bara?Zanzibar ni nchi
Mkuu embu tengua kitendawili chako mwenyewe!Matatizo yakukute kwa bahati mbaya, usiyatafute; hamna haja ya kugombea remote control ya TV na mkeo/watoto, toka alfajiri rudi wa manane, watafurahia utawala wa sebuleni, na watakapotakiwa kujibu, mwenye nyumba yuko wapi, hawatakaa wajitokeze, watakupa tu taarifa, kuna watu walikuulizia....utaendelea kuwa mwenye maamuzi ya mwisho kwenye himaya yako na jamii itaheshimu hivyo.
Haya ni ya kujitakia. Msiba wa kujitakia hauna kilio. Wakati ni sasa wa kuamua.Kama ni Nchi mbona Raisi wao anateuliwa kutoka Dodoma ,Bara?