Serikali ya Magufuli ilikopa zaidi ya tril 6, na kuifanya siri waomba radhi WB ili waitambue na wakopeshwe tena kuinua uchumi

Upotoshaji wa kitoto usio na kichwa wala miguu. Kama mkopo wa Usd 1.5 bil kwa ajili ya Sgr uliandikwa na magazeti karibu yote hapa Tanzania. Siasa za kitoto wapinzani wa Tanzania kutafuta kiki za kisiasa.
 
Mtahangaika sana kwa upotoshaji wa kijinga lakini Ccm inazidi kujanja mbuga.
Mtapata aibu sana maana mnatengeneza uongo wa kijinga. Lakini Ccm inazidi kupiga kazi tu.
Mtahangaika sana kutengeneza uongo ili kuichafua Tanzania. Lakini Ccm inazidi kupiga kazi tu.Wala hakuna mkopo wa kujificha.
 
Tanzania Kuna mtaji mkubwa wa Ujinga, na mbaya Zaid kaminya press mfano hii habari kwa ordinary kuijua ni ngumu kwa sababu kamwe haiwez tanganzwa na vyombo vya habari vya Tanzania
Kweli kabisa mkuu,mtu ukimuuliza makubwa gani yamefanywa na mfalme,utasikia SGR,sijui barabara,sijui upuuzi gani, sasa unajiuliza katika awamu zote zilizopita vitu hivi vilikuwa havijengwi?,Ni upambavu wa high rank
 
By the time awamu ya tano inaondoka madarakani nchi itakuwa imebakiza mito ba bahari
It's sickening kusikia haya
 
Kwa hiyo hoja yako ni ipi? Wewe unataka Nini?
 
Upotoshaji wa kitoto usio na kichwa wala miguu. Kama mkopo wa Usd 1.5 bil kwa ajili ya Sgr uliandikwa na magazeti karibu yote hapa Tanzania. Siasa za kitoto wapinzani wa Tanzania kutafuta kiki za kisiasa.
WB na IMF wanafanyia kazi taarifa za magazetini!? Mbona hamtumii hata akili ya kawaida ya ubinadamu!? Au ninyi ni viumbe tofauti na binadamu!!?
Kwa kweli nampongeza Mh. JPM kwa kupiga marufuku mbioza mwenge,naamini tutapunguza sana kupata vizazi vya mwenge kama wewe.
 
Hii ndo Serikali ya Mzee wa Kujifukiza, ujinga anaufanya mwenyewe halaf baadaye akikutwa Uchi anakenua meno kudai eti nchi iko kwenye Vita😀
 
Hahah daah duniani kooote it is only in Tz(awamu ya 5) ambapo definition ya NTERNAL REVENUES iko kivyake vyake.
 
Jana nilileta hii habari moods mkafuta ,mpaka walete watu wenu mnaowataka ,mbona ni taarifa ileile.
 
Hahah daah duniani kooote it is only in Tz(awamu ya 5) ambapo definition ya NTERNAL REVENUES iko kivyake vyake.

Hapo juu sifahamu una maana gani. Kila nchi ina kopa na wanajenga nchi yao. Hakuna nchi ambayo inasema tumejenga kwa pesa ya kukopa au nchi inayosema tumejenga kwa pesa za kukopa. Wewe binafsi unapotumia pesa za kukopa huwa unalipa kwa miaka kadhaa huwa husemi hizi pesa ninazotumia sio zangu. Akili za kikasuku.
 
Oo tupo vitani mara ooh mabeberu.

Tunalipa 700bn kila mwezi kwanini tukope tena?

Alafu mbna hatuna miradi yakuchukua pesa yote iyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nawashangaa wafuasi wa CHADEMA humu JF, hasa wewe heradius12 na kundi lako (mnajijua, kushupalia Serikali kukopa wakati mnatambua, kwa kusikia na kuona, miradi ya maendeleo inayotekelezwa. Je, CHAMA chenu kiko safi? Viongozi wenu wanapogama na kusema ukweli mnawakashifu kwa kila lugha.

Leo Lijuakali, Mbunge wao aliyejiengua amakivua nguo CHADEMA kikabaki uchi. Kama madai aliyoyasema hamtayatolea majibu ya kuridhisha, hakika viongozi wenu watakuwa na wakati mgumu kwenye kampeni.

Hongera Mh Lujuakali kuanika uovu wa CHADEMA mapema maana ulitahadharishwa kuweka akiba ya maneno, hivyo hata wakikupoteza kama walivyowapoteza watu wao wakaisingizia Serikali, umekwisha yaanika madudu yao km Uwongo na Ufisadi wa kiwango cha kutisha. Msikilizeni Lijuakali.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…