Hizi ni baadhi ya ahadi kati ya 70 alizotoa Rais Kikwete alizozitoa ;
1.Kujenga barabara za juu katika jiji la Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari,
2.kujenga majengo ya biashara maarufu kama Machinga Complex mawili katika kila wilaya za mkoa wa Dar es Salaam.
3.kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya Ziwa,
4.kujenga hospitali katika kila jimbo,
5.kulipa madeni ya Chama cha Ushirika Mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)
6.Kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) Ruvuma
7.Kununua meli kubwa katika Ziwa Victoria kuliko MV Bukoba iliyozama Mei 21, 1996
8.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa,
9.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa, ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
10.Kuboresha barabara za Igunga Tabora, Njombe- Makete, Musoma Mto wa Mbu. 11.Kukarabati barabara ya Moshi-Arusha, na Singida-Dodoma.
Unaweza kutuambia zimefikia wapi?Au zimeota mbawa?Na naona muda wake umeisha!
Bora nusu shari kuliko shari kamili. Kwa haya aliyofanyika tunalidhika nayo kabisa. Na wewe subiri mabati na cement ya shs elfu 5 aliyoahidi Dr. Slaa kama itawezekana.
VP kuhusu mfumko wa bei,maji na ajira kwa vijana waliyomaliza vyuo? Acheni kuleta siasa zenu za kijinga za serikali ya ccm. Unajua ninyi mnadhani wanakoishi watu ni mjini tu ndiyo maana mnatuonesha hayo majengo na barabara za lami,rudini vijijini kaoneni hali ilivyo mbaya. Acheni maovu yenu ya kukebehi kundi kubwa la waTanzania wananteseka huko vijijini kwa ushenzi wa ccm.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikabidhi vifaa vya hopitali kwa ajili ya zahanati ya Lukulunge huko Mvuha Wilayani Morogoro, anayepokea kwa niaba ya zahanati hiyo ni kaimu mganga mkuu wa wilaya ya Morogoro Dr. Dennis Njau
Imerahisisha upatikanaji wa madawa ya kulvya hivyo kuongeza mateja kibao huko Kinondoni na kwingineko, imehalalisha ujangili wa meno ya tembo kwa kumteua Kinana the Dentist kuwa katibu mkuu, imeuza mbuga za wanyama na kuwakabidhi wazungu, imefanikisha ulipuaji wa mabomu kwenye mikutano ya vyama vya upinzani, imeruhusu polisi kuua raia na kufanikisha kifo cha Mwangosi, imemteua Ramadhani Ighondu kung'oa meno na kucha za wanaharakati bila ganzi, imiwezesha nchi yetu kuwa na raia masikini wa kutupwa n.k.
we --------..kusoma hujui hata picha hauzion!!!mxenge ww!!!
Yule ------ wenu Slaa aliahd mabat,cment vtauzwa 5000.
ni upuuz mtupu. CCM umeikuta madarakan na utaiacha..!! unataka kwenda ikul wakati hata choo kiliko hujui. chadema wote ---- la mamako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.