Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

Barabara Network
Trunk n regional A4.jpg
 
Hizi ni baadhi ya ahadi kati ya 70 alizotoa Rais Kikwete alizozitoa ;


1.Kujenga barabara za juu katika jiji la Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari,
2.kujenga majengo ya biashara maarufu kama Machinga Complex mawili katika kila wilaya za mkoa wa Dar es Salaam.
3.kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya Ziwa,
4.kujenga hospitali katika kila jimbo,
5.kulipa madeni ya Chama cha Ushirika Mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)
6.Kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) –Ruvuma
7.Kununua meli kubwa katika Ziwa Victoria kuliko MV Bukoba iliyozama Mei 21, 1996
8.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa,
9.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa, ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
10.Kuboresha barabara za Igunga –Tabora, Njombe- Makete, Musoma – Mto wa Mbu. 11.Kukarabati barabara ya Moshi-Arusha, na Singida-Dodoma.

Unaweza kutuambia zimefikia wapi?Au zimeota mbawa?Na naona muda wake umeisha!

Mtakuja na ngonjera zipi nyingine
 
Bora nusu shari kuliko shari kamili. Kwa haya aliyofanyika tunalidhika nayo kabisa. Na wewe subiri mabati na cement ya shs elfu 5 aliyoahidi Dr. Slaa kama itawezekana.
 
VP kuhusu mfumko wa bei,maji na ajira kwa vijana waliyomaliza vyuo? Acheni kuleta siasa zenu za kijinga za serikali ya ccm. Unajua ninyi mnadhani wanakoishi watu ni mjini tu ndiyo maana mnatuonesha hayo majengo na barabara za lami,rudini vijijini kaoneni hali ilivyo mbaya. Acheni maovu yenu ya kukebehi kundi kubwa la waTanzania wananteseka huko vijijini kwa ushenzi wa ccm.
 
Kwani wanapokuwa Dodoma wanajifanya vipofu hawakioi chuo cha UDOM.
 
[h=3]ziara ya makamu wa rais dkt bilal mkoa wa lindi,aweka jiwe la msingi kituo cha afya cha kitomanga, lindi vijijini[/h] KituoChaAfya1.jpg
 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikabidhi vifaa vya hopitali kwa ajili ya zahanati ya Lukulunge huko Mvuha Wilayani Morogoro, anayepokea kwa niaba ya zahanati hiyo ni kaimu mganga mkuu wa wilaya ya Morogoro Dr. Dennis Njau Moro1.jpg
 
Imerahisisha upatikanaji wa madawa ya kulvya hivyo kuongeza mateja kibao huko Kinondoni na kwingineko, imehalalisha ujangili wa meno ya tembo kwa kumteua Kinana the Dentist kuwa katibu mkuu, imeuza mbuga za wanyama na kuwakabidhi wazungu, imefanikisha ulipuaji wa mabomu kwenye mikutano ya vyama vya upinzani, imeruhusu polisi kuua raia na kufanikisha kifo cha Mwangosi, imemteua Ramadhani Ighondu kung'oa meno na kucha za wanaharakati bila ganzi, imiwezesha nchi yetu kuwa na raia masikini wa kutupwa n.k.
 
Elimu imeshuka na ufaulu umedidimia 60%

Tembo wameibwa wameisha

Madawa ya kulevya imekuwa biashara rasmi kwa watawala na haramu kwa watawaliwa

Mauaji yameruhusiwa kupitia "wapigeni tu"

Udini umerudishwa upya

Mkuu mie sina picha labda nikupe vibonzo/vikaragosi
 
we --------..kusoma hujui hata picha hauzion!!!mxenge ww!!!
Yule ------ wenu Slaa aliahd mabat,cment vtauzwa 5000.
ni upuuz mtupu. CCM umeikuta madarakan na utaiacha..!! unataka kwenda ikul wakati hata choo kiliko hujui. chadema wote ---- la mamako.
 
Back
Top Bottom