Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,536
- 8,621
Katika kinachooonekana kuwa serikali ipo hoi kifedha kwa mara ya kwanza tangu tatizo la kuchelewesha mishahara kuwa historia nchi hii ..watumishi wa uma wameanza kupigwa kalenda kupewa mishahara katika tukio la karibuni hata polisi walilimwa barua za uvumilivu ....zikiwataka wawe wavumilivu kwa mishahara kuchelewa ...
Hali hiyo imeendelea kuwa tete hata sasa ambapo mishahara ya watumishi wa umma nayo imeanza kuchelewa....nadhani kwa kuwa humu watumishi tupo....tunaweza kuchangia vema hoja hii...
Hali hiyo imeendelea kuwa tete hata sasa ambapo mishahara ya watumishi wa umma nayo imeanza kuchelewa....nadhani kwa kuwa humu watumishi tupo....tunaweza kuchangia vema hoja hii...