Serikali ya Kikwete hoi kifedha: Wafanyakazi wakosa mishahara

Nasikia hata ofisi zetu za ubalozi baadhi ya nchi wapewa eviction order,mishahara nao hawajapata mambo kweli kweli
 
Phillemon Mikael wa JF ndio chanzo................na huo ndio ukweli wenyewe............

Kuna wakati mishahara ilichelewa idara fulani kwakuwa Mkulu.........anasafiri..........damn

Radio mbao ndiyo zinaweza kuleta habari ambazo hazina chanzo kamili. Siwezi kukubaliana na hili jambo hata kidogo.

Serikali yetu ina pesa za kutosha kabisa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara katika muda unaotakiwa. Na kama ingekuwa hakuna pesa hizo basi mkulu angetueleza katika hotuba yake ya leo.
 
Radio mbao ndiyo zinaweza kuleta habari ambazo hazina chanzo kamili. Siwezi kukubaliana na hili jambo hata kidogo.

Serikali yetu ina pesa za kutosha kabisa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara katika muda unaotakiwa. Na kama ingekuwa hakuna pesa hizo basi mkulu angetueleza katika hotuba yake ya leo.

Idiota!
Kakueleza mangapi kwenye hiyo hotuba!
AMekueleza wanavyosema uchumi umekuwa wakati bei za vitu na huduma vinakuwa juu?Ajira milioni ngapi kaweka?
kwa hiyo watu wakisema bei za vitu juu ,ajira kwa wengi hakuna utasema hapana rais angesema kwenye hotuba yake?
Mnataka source kama yeye source kacheleweshewa mshahara je!!!?
Ila tutajua tu ,mwezake Ben alimwachia pesa kibao hazina ,sasa yeye sijuhi kakusanya kiasi gani na senti ngapi zimebaki hazina.
 
download
 
Hii serikali haina fweza kwa sababu ya kulipa kwa dola au shilingi?
 
Katika kinachooonekana kuwa serikali ipo hoi kifedha kwa mara ya kwanza tangu tatizo la kuchelewesha mishahara kuwa historia nchi hii ..watumishi wa uma wameanza kupigwa kalenda kupewa mishahara katika tukio la karibuni hata polisi walilimwa barua za uvumilivu ....zikiwataka wawe wavumilivu kwa mishahara kuchelewa ...

Hali hiyo imeendelea kuwa tete hata sasa ambapo mishahara ya watumishi wa umma nayo imeanza kuchelewa....nadhani kwa kuwa humu watumishi tupo....tunaweza kuchangia vema hoja hii...

Si kweli. Sina uhakika wewe ni mtumishi wa serikali kwa miaka mingapi iliyopita. Hapa issue ni budget ya serikali. Kila mwaka, mshahara wa mwezi wa saba (July) huwa unachelewa sana. Mimi sijawahi ona hata siku moja mashahara ukiwa ready by 30th July kwa wafanyakazi wa serikali kuu. Na hii ni kwamba; this is a new financial year na kwa hiyo system ina-elekeza nguvu ku-update issues zote ziwe na mwaka huu.

Kwa hiyo mambo ya kusema hata POLICE wamelimwa barua ya uvumilivu au kusema kuwa serikali imechacha kiasi kibaya ni UVUMI na UWONGO wa hali ya juu sana. Unaweza pia usiwe uvimu, bali ni umbumbu wa hali ya juu sana. Ni vema hapa JF tuwe tunauliza kwanza kama kuna issue tata ili uweze kufafanuliwa kwanza kabla ya kuanza kuwatia upupu wenzako ambao wenyewe wapo hapa JF kubeba chochote bila anylsisi ya ndani na kuanza kujadili. Ona sasa jamaa kibao wamchemka kama kawaida yao. 5th August mishahara itakuwa ready
 
Uongozi wa taasisi kubwa kama serikali ya nchi siyo jambo la lelemama. Wengi wanakimbilia malupulupu ya madaraka hayo bila ya kuangalia wajibu unaonedana na madaraka hayo.
 
Idiota!
Kakueleza mangapi kwenye hiyo hotuba!
AMekueleza wanavyosema uchumi umekuwa wakati bei za vitu na huduma vinakuwa juu?Ajira milioni ngapi kaweka?
kwa hiyo watu wakisema bei za vitu juu ,ajira kwa wengi hakuna utasema hapana rais angesema kwenye hotuba yake?
Mnataka source kama yeye source kacheleweshewa mshahara je!!!?
Ila tutajua tu ,mwezake Ben alimwachia pesa kibao hazina ,sasa yeye sijuhi kakusanya kiasi gani na senti ngapi zimebaki hazina.

Asante kwa kuonesha HEKIMA YAKO.
 
Radio mbao ndiyo zinaweza kuleta habari ambazo hazina chanzo kamili. Siwezi kukubaliana na hili jambo hata kidogo.

Serikali yetu ina pesa za kutosha kabisa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara katika muda unaotakiwa. Na kama ingekuwa hakuna pesa hizo basi mkulu angetueleza katika hotuba yake ya leo.

Si kweli. Sina uhakika wewe ni mtumishi wa serikali kwa miaka mingapi iliyopita. Hapa issue ni budget ya serikali. Kila mwaka, mshahara wa mwezi wa saba (July) huwa unachelewa sana. Mimi sijawahi ona hata siku moja mashahara ukiwa ready by 30th July kwa wafanyakazi wa serikali kuu. Na hii ni kwamba; this is a new financial year na kwa hiyo system ina-elekeza nguvu ku-update issues zote ziwe na mwaka huu.

Kwa hiyo mambo ya kusema hata POLICE wamelimwa barua ya uvumilivu au kusema kuwa serikali imechacha kiasi kibaya ni UVUMI na UWONGO wa hali ya juu sana. Unaweza pia usiwe uvimu, bali ni umbumbu wa hali ya juu sana. Ni vema hapa JF tuwe tunauliza kwanza kama kuna issue tata ili uweze kufafanuliwa kwanza kabla ya kuanza kuwatia upupu wenzako ambao wenyewe wapo hapa JF kubeba chochote bila anylsisi ya ndani na kuanza kujadili. Ona sasa jamaa kibao wamchemka kama kawaida yao. 5th August mishahara itakuwa ready

........haya bana subirini "Nipashe" wawahabarishe.......au subirini Hotuba za JK kila mwisho wa mwezi.........na karibuni sana JF...........
 
100. Wale wanafunzi wa UDOM, walioko mazoezini mkoani MWANZA.
Wanafunzi wa UDOM hamna kitu pale. Hawa si ndio walikuwa NEC wakiimba eti wapinzani ni mavuvuzela, tena mbele ya Lipumba? Kama wamenyimwa hela waache tu wafe, ndo watajua CCM ni kitu gani.
 
madhara ya kupendelea wachuuzi ( wafanyabiashara ) wakuoendeshee uchumi kuliko wasomi na wafanyakazi ndio haya, anaturudisha kule kwa mzee rukhsa uchumi ulipokua hoi, anaharibu kazi yote aliyofanya ben, nadhan pia kwa sasa alikua anakula pesa aliyokusanya mkapa, ngoja kipindi cha pili hali itavyozidi kua mbaya! hamna nchi duniani iliyowahi kuendelea kwa stili hii, tena anawatukana kabisa wafanyakazi!
 
. Ni vema hapa JF tuwe tunauliza kwanza kama kuna issue tata ili uweze kufafanuliwa kwanza kabla ya kuanza kuwatia upupu wenzako ambao wenyewe wapo hapa JF kubeba chochote bila anylsisi ya ndani na kuanza kujadili. Ona sasa jamaa kibao wamchemka kama kawaida yao. 5th August mishahara itakuwa ready

.......what a waste ...nani kakuambia kuwa JF ni gazeti la uhuru...unataka kabla ya kufichua jambo tukuulizeni nyie wala bure.....with broad perspective inaonekana umetumwa na wahusika wenzako kutoa ufafanuzi.......sasa mnajuwa kuwa hatukurupuki kuleta habari ..tupo makini!!!

Ni ummbumbu pia kusema mshahara haijachelewa ......na hapo hapo ukisema tarehe 5 watu watakuwa wamepata mishahara.....!!!......hata kama kweli tarehe 5 watumishi watakuwa wamepata mishahara ..si uchelewaji huooooo???.....kama tangu tarehe 30 wangetakiwa wawe wameipata kama wenzao wa mashirika ya kibiashara na taasisi binafsi?????

Pia iwapo weewe ni mstaarabu ...basi utawaomba radhi members na visitors wa JF kwa kuwatukana kuwa wao ni mambumbumbu mfano wa dodoki ambao hubeba tu kila kitu .....nadhani unatambua kuwa watu na especially wanaopita humu wapo makini.....ndio maana kashfa zote muhimu huanzia hapa kama tetesi ....mnavyoooitaga nyie mavuvuzela!!!
 
.......what a waste ...nani kakuambia kuwa JF ni gazeti la uhuru...unataka kabla ya kufichua jambo tukuulizeni nyie wala bure.....with broad perspective inaonekana umetumwa na wahusika wenzako kutoa ufafanuzi.......sasa mnajuwa kuwa hatukurupuki kuleta habari ..tupo makini!!!

Ni ummbumbu pia kusema mshahara haijachelewa ......na hapo hapo ukisema tarehe 5 watu watakuwa wamepata mishahara.....!!!......hata kama kweli tarehe 5 watumishi watakuwa wamepata mishahara ..si uchelewaji huooooo???.....kama tangu tarehe 30 wangetakiwa wawe wameipata kama wenzao wa mashirika ya kibiashara na taasisi binafsi?????

Pia iwapo weewe ni mstaarabu ...basi utawaomba radhi members na visitors wa JF kwa kuwatukana kuwa wao ni mambumbumbu mfano wa dodoki ambao hubeba tu kila kitu .....nadhani unatambua kuwa watu na especially wanaopita humu wapo makini.....ndio maana kashfa zote muhimu huanzia hapa kama tetesi ....mnavyoooitaga nyie mavuvuzela!!!


Haujaongea kitu chochote cha point sasa. Taarifa niliyokupa isome kwa makini uielewe. This is a new financial year. Na hii haijaanza mwaka huu wala mwaka jana. Miaka yote. Hivyo ndivyo ilivyo na hakuna tofauti katika maelezo yangu.
 
.......what a waste ...nani kakuambia kuwa JF ni gazeti la uhuru...unataka kabla ya kufichua jambo tukuulizeni nyie wala bure.....with broad perspective inaonekana umetumwa na wahusika wenzako kutoa ufafanuzi.......sasa mnajuwa kuwa hatukurupuki kuleta habari ..tupo makini!!!

Ni ummbumbu pia kusema mshahara haijachelewa ......na hapo hapo ukisema tarehe 5 watu watakuwa wamepata mishahara.....!!!......hata kama kweli tarehe 5 watumishi watakuwa wamepata mishahara ..si uchelewaji huooooo???.....kama tangu tarehe 30 wangetakiwa wawe wameipata kama wenzao wa mashirika ya kibiashara na taasisi binafsi?????

Pia iwapo weewe ni mstaarabu ...basi utawaomba radhi members na visitors wa JF kwa kuwatukana kuwa wao ni mambumbumbu mfano wa dodoki ambao hubeba tu kila kitu .....nadhani unatambua kuwa watu na especially wanaopita humu wapo makini.....ndio maana kashfa zote muhimu huanzia hapa kama tetesi ....mnavyoooitaga nyie mavuvuzela!!!

Sure kuna watu huwa wanajiona wanajua saaaana. Mbona thread yenyewe iko wazi kabisa. Kama anajua sababu ya kuchelewa si angechangia tu kama mwanzisha thread alivyoomba? Hawa ndiyo mavuvuzela wanaoiweka nchi pabaya.
 
Sure kuna watu huwa wanajiona wanajua saaaana. Mbona thread yenyewe iko wazi kabisa. Kama anajua sababu ya kuchelewa si angechangia tu kama mwanzisha thread alivyoomba? Hawa ndiyo mavuvuzela wanaoiweka nchi pabaya.

Huo ulitakiwa uwe mchango wako sasa zile kashfa za nini? hapo ndiyo mnapishana na Phil.
 
Huo ulitakiwa uwe mchango wako sasa zile kashfa za nini? hapo ndiyo mnapishana na Phil.

Nimekuelewa MJM na pia nimemwelewa sana Philemon. Naongelea maudhui mazima ya thread. Alivyoiweka thread, was totallly wrong na haikubali hapa. Huwezi kusema kuwa serikali imeishiwa kwa hiyo......?! Nani amemwambia kuwa serikali imeishiwa? Wewe uliza tu ujibiwe na si mbwembwe za mitaani. Alafu na wewe MJM, hapa JF hamna mtu anajifanya kujua. Wewe kama unajua zaidi weka information zenye kichwa hapa tuone.
 
CCM mwaka huu kazi wanayo,ningeelewa kama mshahara wa mwezi wa sita ungechelwa kwa kuwa ni transition ya fiscal year ya 2009/10 kwenda 2010/11 sasa mshahara wa July how come uchelewe?
Nina vijana wangu apa hazina ndogo ngoja niwaulize ntakuja na jibu
 
CCM mwaka huu kazi wanayo,ningeelewa kama mshahara wa mwezi wa sita ungechelwa kwa kuwa ni transition ya fiscal year ya 2009/10 kwenda 2010/11 sasa mshahara wa July how come uchelewe?
Nina vijana wangu apa hazina ndogo ngoja niwaulize ntakuja na jibu


Hizi ndiyo sehemu za kuuliza baadhi ya facts. Hapa hapa JF. Kiuhakika, mshahara wa mwezi wa sita ndiyo unawahi zaidi kuliko yote kama unavyosema ni transition period. Tanzanian Fiscal year starts July through June 30. Alafu, kwa kuwa budget ni asilimia kubwa foreign aid, unapata information zote humu humu kwenye fingers;

Economy of TanzaniaCurrencyTanzanian shilling (TZS)Fiscal year1 July - 30 JuneStatisticsGDP$57.5 billion (2009[update])
Rank: 85th (2009[update])[1]GDP growth4.5% (2009[update])GDP per capita$1,400 (2009[update])
 
Back
Top Bottom