Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,679
- 218,189
Habari zilizopo hewani ni kwamba serikali ya watu nchini kenya imeamua kwa moyo wa huruma kuwafidia wafugaji wa nchi hiyo ambao mifugo yao ilikamatwa na kupigwa mnada kwa bei ya kutupa nchini Tanzania .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .