Tetesi: Serikali ya Kenya yawafidia wafugaji walioporwa mifugo yao na serikali ya Tanzania .

Jana nilikuwa na wazo hilo kwamba ningekuwa Kiongozi wa Kenya ningewafidia wafugaj na kurejesha mifugo ya wamasai watanzania.
 
Habari zilizopo hewani ni kwamba serikali ya watu nchini kenya imeamua kwa moyo wa huruma kuwafidia wafugaji wa nchi hiyo ambao mifugo yao ilikamatwa na kupigwa mnada kwa bei ya kutupa nchini Tanzania

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .

Serikali ipi hiyo?
Ile iliyofurushwa na honourable Maraga?

Hivi nini hasa lengo la mleta mada hii?

Kisa ni kumtetea Jubilee na Kenyatta wenu?

Acheni siasa za maji taka all times
 
Mkuu sasa ukipata kitu kwa mkopo ndio unakuwa hujanunua? Alinunua ila ni kwa mkopo na anatakiwa alipe hilo swala la kuunguziwa vifaranga linamhusu mtanzania na anatakiwa alipe deni la watu kule alipokopa(samahani kukuuliza hili swali mkuu ulishawahi kufanya biashara?)
Kenya kama hasara ni ya mtanzania kwa nini waziri wa mambo ya nje ya Kenya na serikali ya Kenya ikomae kusema vifaranga vya Kenya vimechomwa wakati ownership ya hivyo vifaranga ilikuwa mikononi mwa mtanzania? Kwa nini wakomae hadi kumwita balozi wa Tanzania eti ajieleze kwa nini vifaranga vya mkenya vilivyochomwa moto wakati vifaranga sio vyao? Kwa nini na media zao zikomae kwa Mali isiyo ya Kenya kisheria?
 
Habari zilizopo hewani ni kwamba serikali ya watu nchini kenya imeamua kwa moyo wa huruma kuwafidia wafugaji wa nchi hiyo ambao mifugo yao ilikamatwa na kupigwa mnada kwa bei ya kutupa nchini Tanzania .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .

Mleta mada ni sn**h wewe lete source ya habari hii, badala ya kujaa mapovu wewe
 
Kwani huyo Mike sonko ni mtanzania?
....Ni mkenya na ndiyo maana setikali yake sikivu inayojali raia wake imemlipa fidia. Nasikia pia serikali yetu sikivu inafikiria kumlipa fidia yue binti yetu aliyemaliza chuo juzi milioni zake 12 za vifaranga waliohukumiwa kwenda motoni.
 
Si tu kuunga mkono wana encourage kuwa endeleeni kupekek ngombe zenu Tanzania in case of anything we will compasate you
Ni maajabu nchi kushawishi wananchi wake kwenda kufanya uhalifu kwenye nchi nyingine na wakichukuliwa hatua basi nchi inawafidia???
 
Ni maajabu nchi kushawishi wananchi wake kwenda kufanya uhalifu kwenye nchi nyingine na wakichukuliwa hatua basi nchi inawafidia???
Ni Sera ya kijambazi na ya kihalifu ya Mambo ya nje ya Kenya.It means Sera ya nje ya Kenya ya serikali ya Jubilee ni kuleta majambazi na wahalifu Tanzania kuja kufanya uhalifu wakiwa na support ya serikali yao.
 
Sababu kubwa hapo naona ni ya kibiashara wakenya soko lao kubwa ni kwetu sasa wanaona hatua tuliochukua inaweza kuwafanya watanzania wengi kununua bidhaa toka Kenya tena napenda ufahamu kuwa wafanyabishara wengi wa Kitanzania hawafahamu ni bidhaa ipi ni halali kununua Kenya na ipi si halali

Ningependa kukufahamisha tu ndugu yangu wakati sheria inafuata mkondo wake na elimu inapaswa kutolewa kwa wafanyabiashara ili kuepuka hasara kama hizi sio kukaa ofisini kupigwa kiyoyozi ukisubiri makosa yatokee na kuua mitaji ya watu
 
Sahau kabisa fukara Tanzania kupambana na kibopa Kenya , mtaumia vibaya sana !
Tanzania huijui watanzania wengi hawajali kuwa una pesa au bilionea Ndio maana uchaguzi uliopita walimpa uraisi magufuli wangekuwa wanajali nani ana pesa na wangempa Lowasa kuwa Raisi .Money is not everything in Tanzania take note when you deal with Tanzania.Many Tanzanians motivation factor is not money or richness like in Kenya
 
Back
Top Bottom