Umeacha mojaa muhimu. wauze ATC na TRL maana hayana tija.Serikali punguza wafanyakazi kwa asilimia 40%.
Acha kununua magari, wakopeshe wafanyakazi wanunue magari yao wenyewe.
Chukua vijana wenye nguvu kutoka vyuo vikuu wape kazi uone mambo yatakavyoenda fasta na expenses zitakavyopungua.
Ziba mianya ya kodi. Punguza kodi kwa kufuta kodi zisizo la lazima na kupunguza zile ambazo zinaumiza wafanyabiashara hawa wadogo. Tanua tax base watu wengi walipe , sio mnatubana sisi tu wafanya kazi.
Ongeza usimamizi kwa kuweka systems nzuri TRA (wawezeshe)
Ongeza penalty kwa wanaokwepa kodi ili watu wasifikirie kukwepa kodi.
Wawezesheni wakulima wa kati na wakubwa muwawekee na utaratibu wa kuchangia japo kidogo