Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,962
mjingamimi kwani magari ya usafiri yanamilikiwa na Serikali. Unajua kwamba serikali nyingi tu duniani haziendishi bandari zao badala yake zinaendeshwa na watu binafsi na serikali inatoza kodi. Hayo mambo ya mali za umma yalishakufa enzi za ubinafsishaji zama za utawala wa Mwinyi na kukamilishwa na Mkapa!