Serikali ya China na Tanzania zatofautiana ujenzi wa bandari Bagamoyo

Sementi /saruji iliyotumika kujenga bandari ya Dar es Salaam kipindi cha mkoloni siyo saruji inayotumika kwa kujenga bandari ya Bagamoyo kwa sasa na hao wachina na waomani!! Usishangae kabla ya 35 years hiyo Bagamoyo port ikahitaji ukarabati wa nusu ya gharama za ujenzi!! Unajua hii bandari ilifikiriwa 'kiharaka haraka 'sana!
Maghorofa ya Kariakoo hayadondoki kwa sababu ya sementi "ya siku hizi" bali yanadondoka kutokana na ukilaza wa baadhi ya Wahandisi!!
 
Hivi katika uchumi wa soko huria kuna kubalikaje tena kwa masharti kama haya uliyo ya taja kuwepo?

Mfano unamsikia Trump wa USA anasema, "buy Amerika hire Amerika" huku wale wanao tuongoza hapa kwetu wanazungumzia habari ya International tendering. Dunia hii ina mambo mengine ya ajabu sana. Hivi suma jkt au tha wanaweza kwenda kuomba tenda achilia mbali kupata hata hapo Kenya tu!!!?

Na washawasha!




Na hilo ndo lengo lao!!!! Kwamba, exports to China kutoka Ukanda wa Maziwa Makuu na Imports from China kuingia Ukanda wa Maziwa Makuu; lengo lake zote zipitie Bagamoyo na ndio maana anataka ijengwe na reli kabisa ili arahisishe transport to and from Bagamoyo!!! Ni kama alivyofanya Djibouti... amejenga bandari kisha akainganisha na reli hadi Ethipoia lengo ku-serve Horn of Africa.

Kikubwa kabisa ambacho serikali wanatakiwa kukiangalia na ambacho ndicho hasa kinahitaji strong negotiation ni suala la competitive infrastructure.

Sina uhakika kipengele hiki kinasemaje kwa issue ya Bagamoyo lakini ni kawaida kwenye BOOT Contracts kukuta kipengele cha ku-discourage development of competitive infrastructure! Kwa mfano, kunaweza kuwa na kipengele kwamba Bandari ya Dar es salaam isipanuliwe for the next X Years (ingawaje kwa issue ya kupanuliwa kwangu sioni tatizo kwavile kwa pale ilipo suala la kupanua si jambo dogo)! Au kunaweza kuwa na kipengele kinachosema pasijengwe bandari nyingine tena au zilizopo zisiendelezwe!!!

Hivi vipengele huwa vinakuwepo (though NOT ALWAYS) kwa sababu hizi investments zinakunywa pesa nyingi sana... sasa wakiwa na stiff competition, unaweza kufika wakati wa ku-transfer wakati hata nusu ya gharama hawajarudisha!

Aidha, kunaweza kukawa na kipengele cha kutaka mizigo ya serikali na taasisi zake ipitie hapo!!!

Kwahiyo hapo ndipo ninapoona panahitaji sana mjadala lakini kusema kwamba mradi hauna maana, tutakuwa tumerogwa na Wakenya lazima wafanye sherehe!!
 
Hivi katika uchumi wa soko huria kuna kubalikaje tena kwa masharti kama haya uliyo ya taja kuwepo?

Mfano unamsikia Trump wa USA anasema, "buy Amerika hire Amerika" huku wale wanao tuongoza hapa kwetu wanazungumzia habari ya International tendering. Dunia hii ina mambo mengine ya ajabu sana. Hivi suma jkt au tha wanaweza kwenda kuomba tenda achilia mbali kupata hata hapo Kenya tu!!!?

Na washawasha!
Na hilo suala la soko huria ndo hoja ya kujikita nayo kwamba, kwenye free market huwezi kuweka restrictions to entry! Lakini hakuna mwekezaji anayependa competition kwahiyo wanaweza kufanya attempt ya kuwa na kipengele sawa na hicho!! Sasa negotiation team ikiwa ni sawa na zile GNT tulizozoea unakuta "Request Guaranteed!"
 
Mradi ndio ushakufa huo...

Kila mahali jamaa anaharibu tu, tatizo ni nini???
Wapo busy na Manji na mbowe viwanda na Bandari wapi na wapi? Mkulu akili yake yote anawaza jinsi ya kuua Upinzani mambo ya viwanda hataki na hata msumbiji wananchi wamebakwa na kuuawa kampigia simu Rais wa msumbiji kumpongeza.
 
Tatizo la Tanzania viongozi wanaona hakuna mwenye eneo kama tanzania hivo hata wakiacha watakuja wengine.
Mshindani wetu kenya tayari ana viwanda vya magari na vimeshaanza uzalishaji sisi ni blablaa tu sababu alianzisha Kikwete.

Kweli Mkuu. Nakumbuka kipindi cha Mwinyi KLM walitaka kufanya ubia na ATC. Wakaja Tanzania wakatumbebeleza sana, wakasema ubia pamoja nao utaendeleza pia soko letu la utalii, na hata kuikuza sana ATC. Tanzania iligoma kwa sababu wanazojua wao, lakini KLM walisema walikuwa wanagoma ili wapewe rushwa. KLM wakaachana na sisi wakaenda Kenya wakaanzisha ubia na Air Kenya, na kuibadii kuwa Kenya Airways, hadi rangi, wakawapa ndege kibao. Toka hapo Tanzania hatuwezi tena kuifikia hata kwa mbali Kenya Airways. Yale mandege yote ya Kenya Airways ilikuwa yawe Air Tanzania.Baadaye tukaja kujitia mkenge kwa South African Airways tukiwakubalia kila kitu kwa kuhofia kuwapoteza kama KLM, tukaishiwa kufanywa kitu mbaya sana na SAA.

Nilisema humu ndani watu waliotukosesha ubia na KLM siku mie nikiwa raisi wa Tanzania nitawafunga jela, hata kama wamezeeka kiasi gani.
 
2014, kipindi cha ESCROWS KAFULILA aliupinga huu mradi na wapinzani WENGINE tuone kamaa wataaendelea kuupinga kwa unafiki . hoja yao kubwa ni kuwa kwa nin hizo pesa zisiendeleza BANDARI ya mtwara tanga na ujenzi wa RELI YA SGR
 
Back
Top Bottom