Serikali tunaomba msaada wa hizi ndege zimeanza leta matatizo makubwa sana toka asubuhi atujaondoka toka KIA ukiuliza mnaambiwa ndege inatatizo.
Hili limekuwa ni tatizo ambalo alijapatiwa ufumbuzi na hawa watu wa fastjet wanashindwa toa taarifa kuwa ndege aitakuwepo matokeo yake unafika kama hapa KIA ndo wanakuambia ndege akuna.
Kwa mfano hapa saizi KIA abiria wamekasirika na kumchukua mfanyakazi wa fastjet na kumpeleka polisi kwa sababu abiria wamechukia sana.
Tunaiomba serikali ichunguze hizi ndege kama zina usalama wa abiria kuzipanda
Hili limekuwa ni tatizo ambalo alijapatiwa ufumbuzi na hawa watu wa fastjet wanashindwa toa taarifa kuwa ndege aitakuwepo matokeo yake unafika kama hapa KIA ndo wanakuambia ndege akuna.
Kwa mfano hapa saizi KIA abiria wamekasirika na kumchukua mfanyakazi wa fastjet na kumpeleka polisi kwa sababu abiria wamechukia sana.
Tunaiomba serikali ichunguze hizi ndege kama zina usalama wa abiria kuzipanda