Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,291
- 283,234
upo sahihi mkuu.
Karume alikubali muungano kwa kuwa lilikuwa sharti la Nyerere ili apewe nchi ya Zanzibar kwani mganda ndo alieongoza mapinduzi wakati Karume alikuwa anakula urojo mchambawima
Duh! Kuuumbee!! Asante kwa taarifa kiongozi .