Serikali tafuteni suluhu kwenye mabasi ya mwendokasi mtasababishi magonjwa au vifo vinavyoweza kuepukika

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,556
2,998
Jamani kwani serikali inakazi gani??inakuwaje inaleta mfumo mpya kwa lengo la kurahisisha na kuleta ufanisi katika anga la usafiri lakini inashindwa kabisa kufata sheria walizoweka wenyewe??

Juzi nimetoka zangu mkoani kuja zangu Daaslamu huku usafiri mkubwa na watabu ukiwa ni mwendokasi,nilipofika kimara mwisho nilipigwa na butwaaa

@Kupnga mistari
magari hayasimamai takribani nusu saaa hata liwe tupu.
magari limejaa mtu nyomi na bado linaendelea kupokea watu.
@tiketi zinavyokatwa upigaji bado ni mkubwa.


Hivi ni kweli serikali haioni kuwa hizi gari incase ikapata ajari watu wengi watafariki??au tunasubiri mpaka yatokeee???

vipi kuhusu magonjwa yanayoambukizwa kwa ngozi pamoja na hewa tutabaki salaama??


Naomba tutafute muaruarobaini wa hili tatizo kabla hayajatufika.
 
Jamani kwani serikali inakazi gani??inakuwaje inaleta mfumo mpya kwa lengo la kurahisisha na kuleta ufanisi katika anga la usafiri lakini inashindwa kabisa kufata sheria walizoweka wenyewe??

Juzi nimetoka zangu mkoani kuja zangu Daaslamu huku usafiri mkubwa na watabu ukiwa ni mwendokasi,nilipofika kimara mwisho nilipigwa na butwaaa

@Kupnga mistari
magari hayasimamai takribani nusu saaa hata liwe tupu.
magari limejaa mtu nyomi na bado linaendelea kupokea watu.
@tiketi zinavyokatwa upigaji bado ni mkubwa.


Hivi ni kweli serikali haioni kuwa hizi gari incase ikapata ajari watu wengi watafariki??au tunasubiri mpaka yatokeee???

vipi kuhusu magonjwa yanayoambukizwa kwa ngozi pamoja na hewa tutabaki salaama??


Naomba tutafute muaruarobaini wa hili tatizo kabla hayajatufika.
Acha kupoteza muda hakuna ambacho serikali inaweza , labda kuchangia pesa magoli ya Simba na Yanga kule kwenye mashindano ya CAF
 
Jamani kwani serikali inakazi gani??inakuwaje inaleta mfumo mpya kwa lengo la kurahisisha na kuleta ufanisi katika anga la usafiri lakini inashindwa kabisa kufata sheria walizoweka wenyewe??

Juzi nimetoka zangu mkoani kuja zangu Daaslamu huku usafiri mkubwa na watabu ukiwa ni mwendokasi,nilipofika kimara mwisho nilipigwa na butwaaa

@Kupnga mistari
magari hayasimamai takribani nusu saaa hata liwe tupu.
magari limejaa mtu nyomi na bado linaendelea kupokea watu.
@tiketi zinavyokatwa upigaji bado ni mkubwa.


Hivi ni kweli serikali haioni kuwa hizi gari incase ikapata ajari watu wengi watafariki??au tunasubiri mpaka yatokeee???

vipi kuhusu magonjwa yanayoambukizwa kwa ngozi pamoja na hewa tutabaki salaama??


Naomba tutafute muaruarobaini wa hili tatizo kabla hayajatufika.
Punguza hasira.

Hio ndio dar, utazoea.

Niliacha kupanda mwendokasi zamani sana nikaja kupanda mwaka huu tena aisee nilisema hata kwa dawa sitowah panda tena, bora nilipe 10000 bolt nikiwa sina usafiri wangu kuliko kutumia mwendokasi
 
Jamani kwani serikali inakazi gani??inakuwaje inaleta mfumo mpya kwa lengo la kurahisisha na kuleta ufanisi katika anga la usafiri lakini inashindwa kabisa kufata sheria walizoweka wenyewe??

Juzi nimetoka zangu mkoani kuja zangu Daaslamu huku usafiri mkubwa na watabu ukiwa ni mwendokasi,nilipofika kimara mwisho nilipigwa na butwaaa

@Kupnga mistari
magari hayasimamai takribani nusu saaa hata liwe tupu.
magari limejaa mtu nyomi na bado linaendelea kupokea watu.
@tiketi zinavyokatwa upigaji bado ni mkubwa.


Hivi ni kweli serikali haioni kuwa hizi gari incase ikapata ajari watu wengi watafariki??au tunasubiri mpaka yatokeee???

vipi kuhusu magonjwa yanayoambukizwa kwa ngozi pamoja na hewa tutabaki salaama??


Naomba tutafute muaruarobaini wa hili tatizo kabla hayajatufika.
Pole sana kwa hayo masaibu.

"BLACK PEOPLE are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN TO GOVERN THE SOCIETY. They are still under the process of becoming the complete human beings. "
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

[Emphasis is added]
 
Punguza hasira.

Hio ndio dar, utazoea.

Niliacha kupanda mwendokasi zamani sana nikaja kupanda mwaka huu tena aisee nilisema hata kwa dawa sitowah panda tena, bora nilipe 10000 bolt nikiwa sina usafiri wangu kuliko kutumia mwendokasi
nimejuta kukata tiketi
 
Back
Top Bottom