Serikali pigeni marufuku pombe nchini

Serikali pigeni marufuku pombe nchini

Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Ni wangapi wasiokunywa pombe wanamatokeo chanya, ya maendeleo kuliko wanywa pombe?
 
Nyie wafuasi wa "mfalme zumaridi" and the like hovyo tu.

Yaani kuna m.t.u.si nimekutukana kimya kimya kuogopa kupigwa ban!
 
Kodi sehemu kubwa ya pato la serikali linatoka kwenye pombe na sigara
 
Wewe utakua tajiri mana hunywi?
FB_IMG_1574682107113.jpeg
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.

Kesho utakuja kusema nywele za wanawake zinakula sana hewa so wanawake wote wajifunike vitambaa kichwani
 
Nchi hii ni tajiri" na utajiri sio kwa pombe....

Ww acha ushamba, hakuna inchi tajiri Afrika, tajiri ni yule mwenye pesa na anauwezo wa kujiamulia mambo yake, nambie inchi gani Africa inaweza kujiamulia mambo yake?
 
Back
Top Bottom