Serikali pigeni marufuku pombe nchini

Serikali pigeni marufuku pombe nchini

Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora Serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa Serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Kwan wauzaji na watengenezaji wa pombe huoni wakifanya kazi ??? Kweli ww ni Africa tanzania.
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora Serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa Serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Hama nchi kama vipi usitupangie jinsi ya kuishi
 
Yaani hiyo serikali yako yenyewe...inategemea mapato katika hivyo vyanzo vya ulabu

Unadhani watakuelewa?
 
Ukitaka kujua kuna UNAFIKI duniani watakaopiga kura kwa wingi kukataa pombe ni wanywaji kisha wanaanza kulalamika sheria gani hizi.
Ukistaajabu ya Mussa , ya Filaun utayaona.
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora Serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa Serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Huko kwenye pombe ndiko serikali inakotegemea ....tengua kauli kabla hawajakuskia au punguza volume
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora Serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa Serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Mh.....mausha bila pombe hata mbinguni hakuna..
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora Serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa Serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Mwanaume kutokunywa pombe tena zile kali kali ni umama.
 
Back
Top Bottom