hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wangudu Leo nikiwa kwenye feri natoka kigamboni kwenda mjini, nilikaa karibu na ndugu mmoja alikuwa busy kuongea na simu
Baada ya muda kidogo nikaona anakosa nguvu kama anataka kuzimia, anatokwa na jasho Sana,
Ikabidi kwenda kumsaidia na kumuuliza shida ya mkasa uliompata
Kumbe bwana ana mkopo wa elf 92 kwenye kampuni ya flex cash na alitakiwa kurudisha huo mkopo kesho, sasa akapigiwa simu, na mwakilishi wa hiyo kampuni na akamwambia kama akilipa deni lake Leo ataongezewa laki tatu na atalipa kwa mwezi mmoja
Yule jamaa alichoamua ni kutumia balance ambayo alikuwa nayo kwenye simu yake alipe 92 apate laki tatu
Kilichotokea after kulipa ni hiyo laki tatu hajapata, hela aliyotoa ni balance yake ya matibabu na haitoshi tena
Presha ikapanda katolewa pale anapelekwa hospitali hana nguvu hata ya kutembea
Ombi langu Kwa serikali please please hata kama kuna wakubwa wanahisa kwenye hayo makampuni kuna Jambo linatakiwa kufanyika
Nadhani kunatakiwa mjadala wa Wadau na hao watoa huduma
Baada ya muda kidogo nikaona anakosa nguvu kama anataka kuzimia, anatokwa na jasho Sana,
Ikabidi kwenda kumsaidia na kumuuliza shida ya mkasa uliompata
Kumbe bwana ana mkopo wa elf 92 kwenye kampuni ya flex cash na alitakiwa kurudisha huo mkopo kesho, sasa akapigiwa simu, na mwakilishi wa hiyo kampuni na akamwambia kama akilipa deni lake Leo ataongezewa laki tatu na atalipa kwa mwezi mmoja
Yule jamaa alichoamua ni kutumia balance ambayo alikuwa nayo kwenye simu yake alipe 92 apate laki tatu
Kilichotokea after kulipa ni hiyo laki tatu hajapata, hela aliyotoa ni balance yake ya matibabu na haitoshi tena
Presha ikapanda katolewa pale anapelekwa hospitali hana nguvu hata ya kutembea
Ombi langu Kwa serikali please please hata kama kuna wakubwa wanahisa kwenye hayo makampuni kuna Jambo linatakiwa kufanyika
Nadhani kunatakiwa mjadala wa Wadau na hao watoa huduma