Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,609
- 59,732
Hilo la kununua kwa bei hiyo wanaijua wao lakini mimi nilichosema ni hizo hela kama ziliingia kihalali zitarudi zilikotoka kwani kuna mikataba, huwezi zuia hela ambazo hazijafanya kaziHizo zinazoanza na Alpha zote ni kampuni ,dhumuni la kuweka masharti magumu ni kuwakomoa kwanini walikataa kununua korosho kwa bei aliyosema mzee!
Haya mengine tutasubiri tu maneno