NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
Watoto kuponzwa hakuondoi ukweli kuwa matokeo husika ni batili, kwa hiyo haiwezekani kuwaachia tu. Waumie lakini tabia hii ife. Kama kuna mwalimu anaona mazingira ya kazi ni magumu hawezi kufundisha mtoto akafaulu, aiachie serikali shule zake badala ya kutufugia wezi. Hakuna shinikizo linalohalalisha wizi wa mitihani. Tabia hii ife.