Serikali msiwafutie Watoto matokeo, toeni matokeo yao haraka. Hawana hatia. Tatizo ni Mfumo

Naongea wazi kabisa hapa. Kwa miaka mingi Serikali imekuwa ikihukumu maisha ya wahitimu wa darasa la saba kimakosa mno.

Ipo hivi...

Watendaji na wasimamizi wa elimu ya msingi wao ndio viongozi wa kuratibu cheating. Hili liko wazi kabisa na NECTA wanalijua.

Walimu wakuu wa shule za msingi hupigwa mikwara na ma RC, RAS, REO, DED, DEO, DAS, WARATIBU WA ELIMU etc. Wafanye vyovyote iwezekanavyo KUWAFAULISHA watoto. Nasisitiza KUWAFAULISHA. Na mbinu zote za kuwafaulisha huratibiwa na Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu katani. Wanafunzi hupokea tu maelekezo. Hawana hatia.

That being said, nawaambia NECTA na namwabia Rais Magufuli. Achieni matokeo ya vijana hao haraka. Hawahusiki.

Wajibisheni mamlaka husika, nimezitaja hapo juu. Vigezo vyote vilivyoandikwa/semwa na NECTA kuwafutia matokeo vijana hao hakuna hata kimoja kilichosababishwa na mwanafunzi. Kumbukeni hawa ni watoto wadogo sana na hufuata orders toka kwa walimu wao.

Ni muda muafaka sasa umefika, kuacha tabia ya kumfurahisha mkuu wenu. Yote haya yanafanyika kumfurahisha MAGUFULI. HII SI SAWA.

Shule zotee za uma hufake/hucheat ili tu kumpemdezesha mkuu wenu.

OMBI.

Rais Magufuli iamuru NECTA itoe matokeo ya vijana hawa 1059. Then deal with your SYSTEM.
Tunawadhulumu watoto kwa makosa tuliyoyaandaa wenyewe
 
UDANGANYIFU? Hii kali,kama tu udanganyifu unafanyika ili tu chama fulani chenye nguvu kishinde uchaguzi,iweje watoto wadogo wanyimwe haki yao ya msingi kupata elimu? Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.Hii si haki,udanganyifu umekuwa ni sehemu ya kujipendelea,wakubwa ndiyo wameasisi hii tabia.Hakuna logic kifilosofia kufutia wanafunzi matokeo wakati mfumo wenyewe wa elimu umepitwa na wakati na haumsaidii mwanafunzi hususani wa ngazi hiyo kuyatumia maarifa aliyoyapata kuajiriwa au kujiajiri mwenyewe
 
Hivi huko Danganyika Republic hakunaga mahakama?

Maana huwa mnanishangaza.... kila mtu anampigia magoti magufuli.

Magufuli fanya hivi, magufuli fanya vile, magufuli tunaomba choo....

Leo wewe unamuomba magufuli aiamuru NECTA?

Hizo mahakama zenu huwa ziko kwa ajili ya nini?

Ni mahakama BUTU kiasi cha kushindwa kutoa amri za kuzuia na kuagiza maafisa wa NECTA?

Yeye ndiye Sheria na ndiye Katiba ya Nchi hii. Atakalo linafanyika na asilotaka halifanyiki.. Usipomuomba yeye afanye, basi hizo Mahakama unazotaja hazina Uwezo wa kuamuru chochote.
 
Kuna mambo ya hovyo sana yanatokea nchini humu.

Hivi Mwl. Anakaa chooni na Majibu alafu wanawapanga watoto waende chooni kwa zamu kuchukua majibu.

Hivi hapo Kwanini tumuhukumu kijana huyu mdogo kabisa.

Lakini kwa nchi hii ilivyo ya kijinga. Hili nalo litapita. Na kamati ya ulinzi na usalama ya mitihani mkoa wataendelea kula mshahara.

Hili mimi silikubali.

MATAGA najua mpo happa. Mwambieni RAIS alitazame hili.
Wakati huo askari na bunduki anakuwa yupo wap
 
Naongea wazi kabisa hapa. Kwa miaka mingi Serikali imekuwa ikihukumu maisha ya wahitimu wa darasa la saba kimakosa mno.

Ipo hivi...

Watendaji na wasimamizi wa elimu ya msingi wao ndio viongozi wa kuratibu cheating. Hili liko wazi kabisa na NECTA wanalijua.

Walimu wakuu wa shule za msingi hupigwa mikwara na ma RC, RAS, REO, DED, DEO, DAS, WARATIBU WA ELIMU etc. Wafanye vyovyote iwezekanavyo KUWAFAULISHA watoto. Nasisitiza KUWAFAULISHA. Na mbinu zote za kuwafaulisha huratibiwa na Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu katani. Wanafunzi hupokea tu maelekezo. Hawana hatia.

That being said, nawaambia NECTA na namwabia Rais Magufuli. Achieni matokeo ya vijana hao haraka. Hawahusiki.

Wajibisheni mamlaka husika, nimezitaja hapo juu. Vigezo vyote vilivyoandikwa/semwa na NECTA kuwafutia matokeo vijana hao hakuna hata kimoja kilichosababishwa na mwanafunzi. Kumbukeni hawa ni watoto wadogo sana na hufuata orders toka kwa walimu wao.

Ni muda muafaka sasa umefika, kuacha tabia ya kumfurahisha mkuu wenu. Yote haya yanafanyika kumfurahisha MAGUFULI. HII SI SAWA.

Shule zotee za uma hufake/hucheat ili tu kumpemdezesha mkuu wenu.

OMBI.

Rais Magufuli iamuru NECTA itoe matokeo ya vijana hawa 1059. Then deal with your SYSTEM.
Wakome kuibia!
 
Elimu yetu imekua na simanzi siku zote, waruhusu shule kutafuta waalimu kokote duniani sio lazima kutoka hapa TZ, kwani waalimu ni zao la wanafunzi walioanguka mitihani, Waalimu kazi ni kupiga watoto ili wafaulu, lakini wanachofundisha hakieleweki, wanaofundisha hawaelewi wanachokifundisha, hatuwezi kubadilisha sisi wenyewe lazima tutachanganye maarifa yawengine, Inasikitisha sana, anahukumiwa Watoto wasio na makosa
Hata akitoka mwl kutoka ulaya hakuna kitakachobadilika.
Mfumo wetu wa Elimu inabidi ubadilike.
Maana sahiz hii serikali inalazimisha kila mtoto ni lazima afaulu awe anajua kusoma au hajui kusoma.
Elimu yetu inapotea kwa kukosa maarifa na ujuzi.
 
NECTA,chombo chenye jukumu la mitihani iliyo chini yake,chombo hiki kipo kisheria.Katika falsafa za elimu chombo hiki hakifuati misingi ya elimu hasa linapokuja suala la matokeo ya mtihani kwa wanafunzi.Inawezekanaje mwanafunzi atangaziwe kafeli? Kwani wanafunzi huenda shuleni au chuoni kufeli? Ina maana mwanafunzi aliyefeli hakujifunza chochote,ni debe tupu? Mfumo huu umeua vipaji na vipawa vingi vya wanafunzi,na hakuna utaratibu wa kufuatilia wanafunzi waliofeli huishia wapi na hayo maarifa e
waliyoyapata.Sasa kama tu hao wanaofeli hakuna wa kuwajali itawezekana vipi kwa hawa walifutiwa matokeo? Maana yake hao wanafunzi hawataendelea na masomo kama wazazi wao hawana uwezo wa kuwapeleka shule za kulipia.Itabidi waingie mitaani au kwenye ajira zisizo rasmi
 
Mkuu umeanza vizuri ila hapo kumhusisha mheshima rais kwenye upuuzi huu ni kosa kubwa

Kiufupi naunguna na hoja yako kuwa mtoto hahusiki kwa namna yoyote ile kwenye hili sakata, hivyo kumfutia matokeo na kumwacha aliyekuwa akimsimamia naona kama haileti maana,

Hivyo kama ulivyosema baraza la mitihani liwawajibishe wale wote waliohusika katika monitoring ya hii mitihani na watoto waliofutiwa matokeo watendewe haki ikiwemo eidha kutungiwa mitihani mwingine na kuufanya upya
 
Siyo kila Jambo lililokuwa linafanyika toka enzi za ukoloni likifanyika leo linakuwa zuri,
Ukiona linaendelea basi watz waliowengi wanalikubali. Unataka hata wakiiba mtihani waachwe tu kama mleta mada anavyoshauri hiyo elimu yetu itakuwa inaelekea shimoni
 
Naongea wazi kabisa hapa. Kwa miaka mingi Serikali imekuwa ikihukumu maisha ya wahitimu wa darasa la saba kimakosa mno.

Ipo hivi...

Watendaji na wasimamizi wa elimu ya msingi wao ndio viongozi wa kuratibu cheating. Hili liko wazi kabisa na NECTA wanalijua.

Walimu wakuu wa shule za msingi hupigwa mikwara na ma RC, RAS, REO, DED, DEO, DAS, WARATIBU WA ELIMU etc. Wafanye vyovyote iwezekanavyo KUWAFAULISHA watoto. Nasisitiza KUWAFAULISHA. Na mbinu zote za kuwafaulisha huratibiwa na Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu katani. Wanafunzi hupokea tu maelekezo. Hawana hatia.

That being said, nawaambia NECTA na namwabia Rais Magufuli. Achieni matokeo ya vijana hao haraka. Hawahusiki.

Wajibisheni mamlaka husika, nimezitaja hapo juu. Vigezo vyote vilivyoandikwa/semwa na NECTA kuwafutia matokeo vijana hao hakuna hata kimoja kilichosababishwa na mwanafunzi. Kumbukeni hawa ni watoto wadogo sana na hufuata orders toka kwa walimu wao.

Ni muda muafaka sasa umefika, kuacha tabia ya kumfurahisha mkuu wenu. Yote haya yanafanyika kumfurahisha MAGUFULI. HII SI SAWA.

Shule zotee za uma hufake/hucheat ili tu kumpemdezesha mkuu wenu.

OMBI.

Rais Magufuli iamuru NECTA itoe matokeo ya vijana hawa 1059. Then deal with your SYSTEM.
Wangeanza kufuta matokeo ya uchaguzi kwani watu wametumia hayo matokeo kama case study....Mungu anawaona walaih
 
Darasa la saba ana hatia gani? Kama vp wawape mtihani tofauti wawapime kivyao hao wanaofutiwa.
Kama umefika daraa la Saba na hamjui maana ya kuna huyu mtoto huko mbele atakuwa very corrupt nawapa kongole Necta..... waalimu nao wana makosa yao kila mtu ashinde mechi yake......
 
Hivi huko Danganyika Republic hakunaga mahakama?

Maana huwa mnanishangaza.... kila mtu anampigia magoti magufuli.

Magufuli fanya hivi, magufuli fanya vile, magufuli tunaomba choo....

Leo wewe unamuomba magufuli aiamuru NECTA?

Hizo mahakama zenu huwa ziko kwa ajili ya nini?

Ni mahakama BUTU kiasi cha kushindwa kutoa amri za kuzuia na kuagiza maafisa wa NECTA?
Afadhali
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom