Tunawadhulumu watoto kwa makosa tuliyoyaandaa wenyeweNaongea wazi kabisa hapa. Kwa miaka mingi Serikali imekuwa ikihukumu maisha ya wahitimu wa darasa la saba kimakosa mno.
Ipo hivi...
Watendaji na wasimamizi wa elimu ya msingi wao ndio viongozi wa kuratibu cheating. Hili liko wazi kabisa na NECTA wanalijua.
Walimu wakuu wa shule za msingi hupigwa mikwara na ma RC, RAS, REO, DED, DEO, DAS, WARATIBU WA ELIMU etc. Wafanye vyovyote iwezekanavyo KUWAFAULISHA watoto. Nasisitiza KUWAFAULISHA. Na mbinu zote za kuwafaulisha huratibiwa na Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu katani. Wanafunzi hupokea tu maelekezo. Hawana hatia.
That being said, nawaambia NECTA na namwabia Rais Magufuli. Achieni matokeo ya vijana hao haraka. Hawahusiki.
Wajibisheni mamlaka husika, nimezitaja hapo juu. Vigezo vyote vilivyoandikwa/semwa na NECTA kuwafutia matokeo vijana hao hakuna hata kimoja kilichosababishwa na mwanafunzi. Kumbukeni hawa ni watoto wadogo sana na hufuata orders toka kwa walimu wao.
Ni muda muafaka sasa umefika, kuacha tabia ya kumfurahisha mkuu wenu. Yote haya yanafanyika kumfurahisha MAGUFULI. HII SI SAWA.
Shule zotee za uma hufake/hucheat ili tu kumpemdezesha mkuu wenu.
OMBI.
Rais Magufuli iamuru NECTA itoe matokeo ya vijana hawa 1059. Then deal with your SYSTEM.
Siyo kila Jambo lililokuwa linafanyika toka enzi za ukoloni likifanyika leo linakuwa zuri,Kufutwa matokeo ipo tangu mkoloni mkuu kawadanganye watoto wenzako!
Hivi huko Danganyika Republic hakunaga mahakama?
Maana huwa mnanishangaza.... kila mtu anampigia magoti magufuli.
Magufuli fanya hivi, magufuli fanya vile, magufuli tunaomba choo....
Leo wewe unamuomba magufuli aiamuru NECTA?
Hizo mahakama zenu huwa ziko kwa ajili ya nini?
Ni mahakama BUTU kiasi cha kushindwa kutoa amri za kuzuia na kuagiza maafisa wa NECTA?
Wakati huo askari na bunduki anakuwa yupo wapKuna mambo ya hovyo sana yanatokea nchini humu.
Hivi Mwl. Anakaa chooni na Majibu alafu wanawapanga watoto waende chooni kwa zamu kuchukua majibu.
Hivi hapo Kwanini tumuhukumu kijana huyu mdogo kabisa.
Lakini kwa nchi hii ilivyo ya kijinga. Hili nalo litapita. Na kamati ya ulinzi na usalama ya mitihani mkoa wataendelea kula mshahara.
Hili mimi silikubali.
MATAGA najua mpo happa. Mwambieni RAIS alitazame hili.
Wakome kuibia!Naongea wazi kabisa hapa. Kwa miaka mingi Serikali imekuwa ikihukumu maisha ya wahitimu wa darasa la saba kimakosa mno.
Ipo hivi...
Watendaji na wasimamizi wa elimu ya msingi wao ndio viongozi wa kuratibu cheating. Hili liko wazi kabisa na NECTA wanalijua.
Walimu wakuu wa shule za msingi hupigwa mikwara na ma RC, RAS, REO, DED, DEO, DAS, WARATIBU WA ELIMU etc. Wafanye vyovyote iwezekanavyo KUWAFAULISHA watoto. Nasisitiza KUWAFAULISHA. Na mbinu zote za kuwafaulisha huratibiwa na Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu katani. Wanafunzi hupokea tu maelekezo. Hawana hatia.
That being said, nawaambia NECTA na namwabia Rais Magufuli. Achieni matokeo ya vijana hao haraka. Hawahusiki.
Wajibisheni mamlaka husika, nimezitaja hapo juu. Vigezo vyote vilivyoandikwa/semwa na NECTA kuwafutia matokeo vijana hao hakuna hata kimoja kilichosababishwa na mwanafunzi. Kumbukeni hawa ni watoto wadogo sana na hufuata orders toka kwa walimu wao.
Ni muda muafaka sasa umefika, kuacha tabia ya kumfurahisha mkuu wenu. Yote haya yanafanyika kumfurahisha MAGUFULI. HII SI SAWA.
Shule zotee za uma hufake/hucheat ili tu kumpemdezesha mkuu wenu.
OMBI.
Rais Magufuli iamuru NECTA itoe matokeo ya vijana hawa 1059. Then deal with your SYSTEM.
Hata akitoka mwl kutoka ulaya hakuna kitakachobadilika.Elimu yetu imekua na simanzi siku zote, waruhusu shule kutafuta waalimu kokote duniani sio lazima kutoka hapa TZ, kwani waalimu ni zao la wanafunzi walioanguka mitihani, Waalimu kazi ni kupiga watoto ili wafaulu, lakini wanachofundisha hakieleweki, wanaofundisha hawaelewi wanachokifundisha, hatuwezi kubadilisha sisi wenyewe lazima tutachanganye maarifa yawengine, Inasikitisha sana, anahukumiwa Watoto wasio na makosa
Wewe na Nani najiita mna AKIRI? Mimi naona hamna akiri(akili).Tumekataa kufuta matokeo feki ya uchaguzi, eti tunafuta matokeo ya watoto wa drs la 7?? Harafu eti tunajiita tunaakiri????
Fafanua mkuu, tafadhaliwaafrika tuna roho mbaya sana
Ausome ili iweje wakati umewatuhumu watendaji wake kuwa wanafuata amri zake ili kimfurahisha yeye?Moderator please fanya msaada. Nataka ujumbe huu RAIS ausome.
Ukiona linaendelea basi watz waliowengi wanalikubali. Unataka hata wakiiba mtihani waachwe tu kama mleta mada anavyoshauri hiyo elimu yetu itakuwa inaelekea shimoniSiyo kila Jambo lililokuwa linafanyika toka enzi za ukoloni likifanyika leo linakuwa zuri,
Wangeanza kufuta matokeo ya uchaguzi kwani watu wametumia hayo matokeo kama case study....Mungu anawaona walaihNaongea wazi kabisa hapa. Kwa miaka mingi Serikali imekuwa ikihukumu maisha ya wahitimu wa darasa la saba kimakosa mno.
Ipo hivi...
Watendaji na wasimamizi wa elimu ya msingi wao ndio viongozi wa kuratibu cheating. Hili liko wazi kabisa na NECTA wanalijua.
Walimu wakuu wa shule za msingi hupigwa mikwara na ma RC, RAS, REO, DED, DEO, DAS, WARATIBU WA ELIMU etc. Wafanye vyovyote iwezekanavyo KUWAFAULISHA watoto. Nasisitiza KUWAFAULISHA. Na mbinu zote za kuwafaulisha huratibiwa na Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu katani. Wanafunzi hupokea tu maelekezo. Hawana hatia.
That being said, nawaambia NECTA na namwabia Rais Magufuli. Achieni matokeo ya vijana hao haraka. Hawahusiki.
Wajibisheni mamlaka husika, nimezitaja hapo juu. Vigezo vyote vilivyoandikwa/semwa na NECTA kuwafutia matokeo vijana hao hakuna hata kimoja kilichosababishwa na mwanafunzi. Kumbukeni hawa ni watoto wadogo sana na hufuata orders toka kwa walimu wao.
Ni muda muafaka sasa umefika, kuacha tabia ya kumfurahisha mkuu wenu. Yote haya yanafanyika kumfurahisha MAGUFULI. HII SI SAWA.
Shule zotee za uma hufake/hucheat ili tu kumpemdezesha mkuu wenu.
OMBI.
Rais Magufuli iamuru NECTA itoe matokeo ya vijana hawa 1059. Then deal with your SYSTEM.
upo sawa mkuuModerator please fanya msaada. Nataka ujumbe huu RAIS ausome.
Kama umefika daraa la Saba na hamjui maana ya kuna huyu mtoto huko mbele atakuwa very corrupt nawapa kongole Necta..... waalimu nao wana makosa yao kila mtu ashinde mechi yake......Darasa la saba ana hatia gani? Kama vp wawape mtihani tofauti wawapime kivyao hao wanaofutiwa.
AfadhaliHivi huko Danganyika Republic hakunaga mahakama?
Maana huwa mnanishangaza.... kila mtu anampigia magoti magufuli.
Magufuli fanya hivi, magufuli fanya vile, magufuli tunaomba choo....
Leo wewe unamuomba magufuli aiamuru NECTA?
Hizo mahakama zenu huwa ziko kwa ajili ya nini?
Ni mahakama BUTU kiasi cha kushindwa kutoa amri za kuzuia na kuagiza maafisa wa NECTA?