Maovu aliyoyafanya Erick Kabendera kwa hili taifa hakutakiwa kuwepo duniani kwa sasa
Kweli hayo maneno yanatoka kinywani mwako? Nitamuomba Mungu wangu aguse familia yako ili ujue uchungu wa kifo.
Lakini pia mafisadi Papa mbona bado wapo duniani, mnaogopa Nini kuwapeleka mahakamani au kuwaua Kama unavyotaka?
Fikiria kabla ya kusema. Mungu akusamahe kwa yote. Pumzike yetu twaipata kwake Nate ndio mwenye amri juu ya maisha yetu.